Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Waonesha muvi, bubu,mbwana,rashd matata n.k ful kolokolo pale ....kamali asubuhi ,mchana muv usiku pilau,kishoka hahaha kuna siku nilitoroka hom kwenda kucheck pilau mida ya saa 5 nkaingia nkakaa mbele kabisa chini ile nageuka nyuma nakuta mjumbe wetu wa nyumba kumi nae ndani ya nyumba daaaaah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Halafu huwezi linganisha mwananyamala na sijui tandale, tandika au temeke, mwananyamala ni uswazi lakini grade A, kuko juu kidogo ya hizo sehemu kuna wahangaikaji wa maisha level ya copa cabana; Brazil au Cochabamba- Colombia.watafutaji tu ndio wamejaa hapo.
Mwananyamala uswazi iliyo advance nakubali kabisa pale kuna wacheza sarakasi ulaya na uchinani kama kariakoo.
 
Shunie we ni classmate wangu ujue ni pm
Mkuu huyo Shunie anakwepa kuPM ila nishamjua kuna mdada namuis ndio yeye kuna siku alikula kachori zile na chachandu yake ni machicha ya nazi tukiwa darasa la tatu au la nne hivi akafanya yake darasni nikamtania kinyama mpaka tunamaliza shule ameninunia tu maana ata mtani nilikuwa namchokoza na kumtania
 
Hiyo No.2 kuna siri kubwa kuna daktari kanisimulia michezo yao.

Wanakuwa hired na wahindi wenye hospital bubu huko mitaa ya ubosini wanafumuwa watu matumbo kutoa ngada[emoji419] [emoji419] [emoji419]

Mungu atunusuru Tanzania
 
Mkuu huyo Shunie anakwepa kuPM ila nishamjua kuna mdada namuis ndio yeye kuna siku alikula kachori zile na chachandu yake ni machicha ya nazi tukiwa darasa la tatu au la nne hivi akafanya yake darasni nikamtania kinyama mpaka tunamaliza shule ameninunia tu maana ata mtani nilikuwa namchokoza na kumtania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio mm aisee halaf wewe kama ulikua na kina mkandu me na we tulikua madarasa tofauti ahahha nimecheka mnooo wapi evod paul na yule mwenzie nani
 
Mkuu huyo Shunie anakwepa kuPM ila nishamjua kuna mdada namuis ndio yeye kuna siku alikula kachori zile na chachandu yake ni machicha ya nazi tukiwa darasa la tatu au la nne hivi akafanya yake darasni nikamtania kinyama mpaka tunamaliza shule ameninunia tu maana ata mtani nilikuwa namchokoza na kumtania
Tulikuwa ɗrs la 4
 
Back
Top Bottom