New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
Mwanae anapiga mishe mishe zingineNa mwanae bado anahudumia?
Si unamjua mjanjamjanja
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanae anapiga mishe mishe zingineNa mwanae bado anahudumia?
Ya juzi una maana gani?? Masai na Bonga zipo hapo toka early 1990s na baba lao Meridian.Masai ya juzi tu
Mmh pat ila humu ninao wengi mnooo halaf tumemaliza mwaka mmojaShunie we ni classmate wangu ujue ni pm
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Waonesha muvi, bubu,mbwana,rashd matata n.k ful kolokolo pale ....kamali asubuhi ,mchana muv usiku pilau,kishoka hahaha kuna siku nilitoroka hom kwenda kucheck pilau mida ya saa 5 nkaingia nkakaa mbele kabisa chini ile nageuka nyuma nakuta mjumbe wetu wa nyumba kumi nae ndani ya nyumba daaaaah
Yes mkuu!Mwanae anapiga mishe mishe zingine
Si unamjua mjanjamjanja
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
We ni pm shunie kwa sasa nko mikoani huku naganga maishaMmh pat ila humu ninao wengi mnooo halaf tumemaliza mwaka mmoja
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] muongo wewe unachomekea tuWe ni pm shunie kwa sasa nko mikoani huku naganga maisha
Shunie we ni pm nikupe cont ƴangu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] muongo wewe unachomekea tu
Mwananyamala uswazi iliyo advance nakubali kabisa pale kuna wacheza sarakasi ulaya na uchinani kama kariakoo.Halafu huwezi linganisha mwananyamala na sijui tandale, tandika au temeke, mwananyamala ni uswazi lakini grade A, kuko juu kidogo ya hizo sehemu kuna wahangaikaji wa maisha level ya copa cabana; Brazil au Cochabamba- Colombia.watafutaji tu ndio wamejaa hapo.
Yah katupiga sana makonzi kwenye kushika table huyu mwalimu wakati tupo darasa la sita..Alivyotoka B nahisi alihamia makumbusho mwalimu ndeka na mustachi wake Mungu ampumzishe mahali pema peponi
Mkuu huyo Shunie anakwepa kuPM ila nishamjua kuna mdada namuis ndio yeye kuna siku alikula kachori zile na chachandu yake ni machicha ya nazi tukiwa darasa la tatu au la nne hivi akafanya yake darasni nikamtania kinyama mpaka tunamaliza shule ameninunia tu maana ata mtani nilikuwa namchokoza na kumtaniaShunie we ni classmate wangu ujue ni pm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio mm aisee halaf wewe kama ulikua na kina mkandu me na we tulikua madarasa tofauti ahahha nimecheka mnooo wapi evod paul na yule mwenzie naniMkuu huyo Shunie anakwepa kuPM ila nishamjua kuna mdada namuis ndio yeye kuna siku alikula kachori zile na chachandu yake ni machicha ya nazi tukiwa darasa la tatu au la nne hivi akafanya yake darasni nikamtania kinyama mpaka tunamaliza shule ameninunia tu maana ata mtani nilikuwa namchokoza na kumtania
Tulikuwa ɗrs la 4Mkuu huyo Shunie anakwepa kuPM ila nishamjua kuna mdada namuis ndio yeye kuna siku alikula kachori zile na chachandu yake ni machicha ya nazi tukiwa darasa la tatu au la nne hivi akafanya yake darasni nikamtania kinyama mpaka tunamaliza shule ameninunia tu maana ata mtani nilikuwa namchokoza na kumtania
Ahahhah lakini si ndio kwenye kufundishaYah katupiga sana makonzi kwenye kushika table huyu mwalimu wakati tupo darasa la sita..
Ahahhaha pat we muongo mbona humzungumzii hata mwanafunzi mmoja au mwalimu yaan sikuaminiShunie we ni pm nikupe cont ƴangu
Shun nipm tukumɓushaneAhahhah lakini si ndio kwenye kufundisha
Uzi wa mshana usingekamilika bila namba 7