Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Nakuona mwana Uswazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unamkumbuka Hashim yule tolu flani hivii kuna siku naenda tanga nipo kwenye bus nimekutana nae kibaha masikini anauza korosho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuona mwana Uswazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unamkumbuka Hashim yule tolu flani hivii kuna siku naenda tanga nipo kwenye bus nimekutana nae kibaha masikini anauza korosho
Hivi unakumbuka kulikua kuna mwalimu wa kike mwalimu mshana ana undugu nae ninii hassan alikua anakaa manjunju au Hassan yupiii halaf nae si alifarikiNilisikia pia ticha ametangulia ...mshana mwenzetu sana mtoto wa mwanyamala kabisa ila nimesahau kumwambia mshana wakati anafanya intrview na james ngomero leo anagemuliza james kuhusu yule msemaji mkuu wa serikali na mkurugenzi wa maelezo ni mtoto wa mwananyamla kabisa hassan alikuwa na masikio kipindi icho anasoma azania tumecheza nae mpira makaburin pale pia alikuwa mtu wa miadhara sana pale msikiti wa taqwa enzi za kina mazinge naisi yumo pia ktk jukwaa ili kwa ID yake
Me ni mswazi pure huwa sifakeNakuona mwana Uswazi
Ninachokumbuka ni kwamba walihamisha mwili baada ya wahuni kuvamia kaburi na kufukuaKuna mzee alikuwa anaitwa mzee Mbaga tajiri alikuwa na mifugo mingi tu ng'ombe, mbuzi, kondoo sehem yake ya machungio makaburini kwa kopa pale ukimfukuza mfugo wake anakwambia "nitukane mimi" nipige mimi" ila sio ng'ombe wangu alikuwa mtata balaa..alipokufa alizikwa makaburi hayo hayo na kaburi lake walikuwa wanalinda wamasai alizikwa na Mali pia na bunduki yake..aftr km 3years or 4 sina kumbukumbu vizur walikuja watoto wake walikuwa wanaishi japan au america kaburi likafukuliwa maiti ikatolewa ikiwa ktk sanduku wakaenda kumzika upya kinondoni mwembe jini
Sio dada wa ukoo mmoja na seif na jumanne mkandu maarufu joojooo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyo hadija mkandu aliwahi kunipiga mkwara hapo shuleni m/nyamala B...nilikuwa nikimuona sina amani.
Sasa hivi amekuwa mwalimi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Wewe wa juzi kaka tulia
He he umenikumbusha sister p alivyokua mchafu chafu shule hapendi siku ya siku namuona kwa TV kheee huyu si happy tadei huyuKuna mzee mmoja alikuwa anaitwa mzee madai yupo hapa km unakwenda kwa kina sisiter P kuna eneo linaitwa torabora( panavutwa bangi 24hours ukiona mtu ameva begi mgongoni sio denti wa tution ila ni pusha) mzee madai alikuwa mganga wa kitapeli kipindi icho simu za kufunua zimeingia simu yake ikiita ring tone ni "mzee madai mzee madai" mtoto wake mmoja alikuwa anajita mbongo halisi (bongo fleva)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu uzi utaenda halafu kuna.mtu atasuggest ifanyike get together, subirini tu mtaniambia
Najua ana ndugu wengine mi namfahamu said mkanduSio dada wa ukoo mmoja na seif na jumanne mkandu maarufu joojooo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Haya endelea kutiririka, mimi napita kimya kimya tu maana ni muhamiajiMe ni mswazi pure huwa sifake
Aliemuoa Norah sio Matunge ni Ng'wizukulu JilalaAlioa Norah
[emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]Waonesha muvi, bubu,mbwana,rashd matata n.k ful kolokolo pale ....kamali asubuhi ,mchana muv usiku pilau,kishoka hahaha kuna siku nilitoroka hom kwenda kucheck pilau mida ya saa 5 nkaingia nkakaa mbele kabisa chini ile nageuka nyuma nakuta mjumbe wetu wa nyumba kumi nae ndani ya nyumba daaaaah
Kumbe walifanya yao wahuni? Ila siku kaburi linafukuliwa nilikuwepo maana eneo lote mwanyamala na viunga vyake walipata taarifa mpaka kinondoni studio watu walikuwa ni wengi sana na siku ile ndio james ngomero alipopata KIKI maana kaburi lilikuwa na zege juu mwanaume alipiga kazi balaaNinachokumbuka ni kwamba walihamisha mwili baada ya wahuni kuvamia kaburi na kufukua
Mbongo halisi yupo hadi leo. Profile yake fb anajitambulisha kama 'She' Tolabola uvutaji nangi umepungua nahisi ubrazamen unachangia.Kuna mzee mmoja alikuwa anaitwa mzee madai yupo hapa km unakwenda kwa kina sisiter P kuna eneo linaitwa torabora( panavutwa bangi 24hours ukiona mtu ameva begi mgongoni sio denti wa tution ila ni pusha) mzee madai alikuwa mganga wa kitapeli kipindi icho simu za kufunua zimeingia simu yake ikiita ring tone ni "mzee madai mzee madai" mtoto wake mmoja alikuwa anajita mbongo halisi (bongo fleva)
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Alikuwa anachonga sana yule mdada ila aliyaanza mambo ya kikubwa akiwa mdogo sana...wakati naanza darasa la kwanza B kwa mwalimu elias kuna dogo anaitwa rashid anaishi ujiji na mwingine anaitwa msafiri nowdys yupo soko la mapinduzi anauza mkaa walinipiga biti la maana mpaka kesho yake sikurudi tena shule B kisa nimekaa ktk dawati sehem niliyoka ni sehem ya mwenzao siku hio alikuwa ajakuja shule maana nilichelewa km week moja kuanza shule so wale walikuwa wajanja wakawa wananiambia "toka nenda ukakae chini au nenda ukakae kwa wanawake wenzio" yanii dawati la mbele yupo fatm mnyeto na zamarad wananiambia "nenda ukakae pale kwa wanawake wenzio toka hapa" huyo rashid mweusiiii niliogopa sana kurudi home nikalia sana kwa mzee nikamwambia wananiambia mimi mwanamke mara wananivuta na nywele wakati mim mwanaume mwenzao bibi kubwa kusikia ivyo akamaind sana maana alikuwa ananidekeza sana akanipeleka mtendeni primary wakati yeye bi mkubwa anafanya kazi pale pale akiba mimi nasoma mtendeni akitoka job tunarudi mwanyamala sasa nikirudi mtaani nakuwa mnyonge maana watoto wakihindi wanishia town tu hapa uswaz kwetu watoto wote wanasoma B stori zao za B za shule kwao..kuingia la pili nikataka tena kurudi B mzee akanichukua mwanyamala B nikarudishwa darasa lile la mwalimu elias dah makamanda nikawakuta tena wapo vile vile this time nilikuwa nishachangamka kidogo mapumziko ni ngumi tu pale uwanjani B wakati huo vumbi jekunduuu