Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Kamati ya Ulinzi
Salumu Kiwiku
Hassani Kibesi
Seif Dunye
Omary Kinyei
Mfaume Samatta (Body)
Hahahaaaaaa
Mtaani haonewi mtu...
One Nil Area..
Fera Street..
Team Manager
Meck Tarimba...
Nondo FC ndo timu ya kitaa...
Daa kitambo sanaa....

Huku ndiko walikotokea Lawrence Mugia na Amani George (Amani Masikio) waliokuwa wanaichezea Villa Squad..

Sudi Mkumba wa Efm product ya Mwananyamala
Including Bigboss Francis Majizo
Msikiti wenye wakali wa Karate Masjid Taqwa (Nyuma ya Hospitali)
Baa za matukio ilikuwa ni Tiger na Kamanyola...
Kibaka maarufu alikuwa ni Kumbwige (RIP)
Mkuu we ni damu yangu kabisa[emoji109] 100
 
Kwendraaaa me nilikua mtoto wa kishua kwa mwananyamala yetu nakaa ushuani si unajua A ndio kwa kishua kwa mwananyamala
Hata ukienda uswahili watoto wa A ndio wanaonekana wa ushuani. mi nakumbuka kipindi nakua bi mkubwa wangu alinipiga marufuku kuchukua mwanamke anayetokea mchangani, kisiwani, manjunju au kwa kopa. A ndio ilikuwa ushuani kwa mwananyamala.
 
Hata ukienda uswahili watoto wa A ndio wanaonekana wa ushuani. mi nakumbuka kipindi nakua bi mkubwa wangu alinipiga marufuku kuchukua mwanamke anayetokea mchangani, kisiwani, manjunju au kwa kopa. A ndio ilikuwa ushuani kwa mwananyamala.
Aahhhaha A watoto wa kota halaf wewe nakufananisha na mashaga alikua anaishi mitaa ya kwenu teh
 
Hao wote mi kaka zangu pia wa kitaa. Migomigo ana nyumba kisiwa ila amefungua shule ya chekechea kwenye hiyo nyumba.
Daaah kaka zangu hao nakua wananiona marafiki wa uncle wangu walikua wanakuja sana mtaani kwetu kwa kina marehemu moo
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Aahhhaha A watoto wa kota halaf wewe nakufananisha na mashaga alikua anaishi mitaa ya kwenu teh
Whaaatttt!!!!!!! Mashaga namkumbuka tulikuwa tunaishi mtaa mmoja. Ngoja nikuelekeze kwetu halafu nijue kama utanikumbuka. Nyumba yetu inatizamana na mgahawa wa chiku kambi. Kuna geti jeusi na kuna miti ya miashoki kama 6 hivi ipo kwenye kona ya kwenda kituo cha polisi upande wa kushoto. Kwetu tulikuwa tunauza askirim

Classic
 
Mtaa wa Kwa kutoka Tiger kulikuwa na nyumba moja ya mama mzungu ana wanae wawili wa kizungu... Mmoja bangi bangi kweli...
Huyu mama mzungu akaugua akapelekwa Nairobi akalazwa huko akafariki
Huyu mwanae bangi akaweka msiba kisha akapiga moto na pajero lake intercooler mpaka Nairobi...
Siku ya pili usiku anaingia kutoka Nairobi na maiti ya mamaake kaipiga belt seat ya nyuma... Mwili ulikuwa umeshaanza kuharibika... Alisafiri na maiti peke yake toka Nairobi mpaka Mwananyamala
 
Whaaatttt!!!!!!! Mashaga namkumbuka tulikuwa tunaishi mtaa mmoja. Ngoja nikuelekeze kwetu halafu nijue kama utanikumbuka. Nyumba yetu inatizamana na mgahawa wa chiku kambi. Kuna geti jeusi na kuna miti ya miashoki kama 6 hivi ipo kwenye kona ya kwenda kituo cha polisi upande wa kushoto. Kwetu tulikuwa tunauza askirim

Classic
hapo shunie lazima aje pm... mambo ya asskrim tena badala ya ice cream
 
Kubabake walay... Mnanipa raha mshana jr , Shunie , Mjushi
Endeeleni kutiririka mazee, mie nimeishi hapo mitaa ya kwa Salama Chaurembo karibu na uwanja wa Mw'nyamala B.
Nimewatomba sana mabinti wa maza house mpaka nikapewa Notice na mjomba wao ndio nikahama.

Kwakweli kitu nachomiss Mw'mala ni "Cheap Life".
Huduma za kijamii ziko chini na zinapatikana kwa urahisi.
Hospitali na dispensary zipo jirani, Soko la Magengeni jirani, Usafiri Daladala za kumwaga.
Misikiti sasa (mnajua mie ni Muislamu) ukikata kona msikiti huu hapa.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Kubabake walay... Mnanipa raha mshana jr , Shunie , Mjushi
Endeeleni kutiririka mazee, mie nimeishi hapo mitaa ya kwa Salama Chaurembo karibu na uwanja wa Mw'nyamala B.
Nimewatomba sana mabinti wa maza house mpaka nikapewa Notice na mjomba wao ndio nikahama.

Kwakweli kitu nachomiss Mw'mala ni "Cheap Life".
Huduma za kijamii ziko chini na zinapatikana kwa urahisi.
Hospitali na dispensary zipo jirani, Soko la Magengeni jirani, Usafiri Daladala za kumwaga.
Misikiti sasa (mnajua mie ni Muislamu) ukikata kona msikiti huu hapa.
hiyo id yako mbona haiendani na dini yako... utakuwa muumini mzr wa mbuzi katoliki ww
 
Mtaa wa Kwa kutoka Tiger kulikuwa na nyumba moja ya mama mzungu ana wanae wawili wa kizungu... Mmoja bangi bangi kweli...
Huyu mama mzungu akaugua akapelekwa Nairobi akalazwa huko akafariki
Huyu mwanae bangi akaweka msiba kisha akapiga moto na pajero lake intercooler mpaka Nairobi...
Siku ya pili usiku anaingia kutoka Nairobi na maiti ya mamaake kaipiga belt seat ya nyuma... Mwili ulikuwa umeshaanza kuharibika... Alisafiri na maiti peke yake toka Nairobi mpaka Mwananyamala
Khaaa.. Dunia ina viroja saana. [emoji15]
 
Back
Top Bottom