Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

hapo lazima baa yako ilikuwa kwa mama sendeka
bila shaka kina Ally Madarika , kibwetere ni washikaji zako kitambo hicho
kwa papuchi mitaa hiyo nimewamega sana
 
Enzi za mabasi ya siri yako. Tushacheza sana mpira pande hizo
 
Hadija Ni mwembamba hivi maji ya kunde

Dada angu Ni maarufu Instagram nikikutajia hapa nitajiharibia
Mmh hiyo huyo tulikua tunamtania hadija kiatu ahahhah alikua ananuna halaf Mungu alivyo wa ajabu nikaja kufanya kazi na marehemu baba yake mzee kiaratu alikua muhasibu wetu siku ya siku namuona hadija ofisini akaniambia nimekuja kumsalimia baba ndio kumwambia mzee kiaratu mwanao nilisoma nae
 
Siri yako Usimwambe Mtu..
Mmoja wa wazee wa mwanzo mwanzo kuwa na Mabasi Scania 93..
Nimeinjoy sana utoto na makuzi yangu pande zote hizo yaani kino na mwananyamala maana bi mkubwa wangu ana nyumba hapo kino karibia na kwa baba yake victor au vale na pia tuna nyumba nyingine mwananyamala A Karibia na kwa akina hasani miundombinu (marehemu) kipindi hicho uwanja mwingine wa kuchezea ni bwawani sasa hivi nadhani kuna mahakama pale nyuma ya sheli ya mwanamboka
 
Mwananyamala wasiojua kukataa huko Sunrise, Kisiwani, Manjunju kwa Mzigua90, kwa Mama Zakaria
 
Duuu we unaitwa Nani nimpigie sister nimpe umbea
 
Dr matunge, ukimuita matunge unamkosea heshima.
Wa kino tulioona MKBar, Meridian, Vijana club, lang'ata, masai zikifunguliwa nyosha vidole
Dr Uchwara teh akina mama wa katoliki walipeleka jumuia nyumbani kwake akawa anaendelea na shughuli zake za uganga ila familia ipo kwenye jumuia uwani kwake!Wanajumuia wakaanza kulalamika huyu mzee mbona haji akawasikia;akaenda akawaambia mnanitafuta nini nyinyi watu nimewapa nyumba na mke wangu lakini bado mnalalamika wote wakapiga kimya;Mzee kauzu sana
 
Muulize kwanza anamkumbuka farashuu ljoh na Jenifer kachele na Amina ridhiwani akikujibu tu kuhusu hao nitakuwa namjua
Huko mbali

Achukue tu hiyo avatar amuonyeshe yeye mwenyewe atasema bwana huyu ni Emmy.
 
Ahahahhaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…