Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Kulikuwa na Kauchochoro pale
Kanaunganisha mitaa wa Karafuu na Kasaba..
Alikuja kuziba Meja Jackson Msome...
Ulikipita pale unaingia Pachoto fasta...
Ile Garage ya Pachoto Mchana uwanja wa mpira jioni Bar..
Garage ikaanza kusogea polepole mpaka imekuwa full garage..
Ni open space ile..
Tulikuwa tunacheza sana mpira pale..
Enzi za mabasi ya siri yako. Tushacheza sana mpira pande hizo
 
Hadija Ni mwembamba hivi maji ya kunde

Dada angu Ni maarufu Instagram nikikutajia hapa nitajiharibia
Mmh hiyo huyo tulikua tunamtania hadija kiatu ahahhah alikua ananuna halaf Mungu alivyo wa ajabu nikaja kufanya kazi na marehemu baba yake mzee kiaratu alikua muhasibu wetu siku ya siku namuona hadija ofisini akaniambia nimekuja kumsalimia baba ndio kumwambia mzee kiaratu mwanao nilisoma nae
 
Siri yako Usimwambe Mtu..
Mmoja wa wazee wa mwanzo mwanzo kuwa na Mabasi Scania 93..
Nimeinjoy sana utoto na makuzi yangu pande zote hizo yaani kino na mwananyamala maana bi mkubwa wangu ana nyumba hapo kino karibia na kwa baba yake victor au vale na pia tuna nyumba nyingine mwananyamala A Karibia na kwa akina hasani miundombinu (marehemu) kipindi hicho uwanja mwingine wa kuchezea ni bwawani sasa hivi nadhani kuna mahakama pale nyuma ya sheli ya mwanamboka
 
Mwananyamala matuta mawili ndio nlikuwa na ofis yang daily lazima nioshe rungu madem wa kule hawajui kukataaa yan Malaya na asie Malaya wote wanakupa tu

Kibiko alikuwa dem fulan hiv anaitwa mwasisiti hapo hapo nyamala matuta mawili wanapouza uza uza magidoro aiseee huyu dem nilimtongoza akakubali ila akataka 20000 nkakuambia poa
Jioni nkafunga ofisi nkaenda nkala zangu supu ya utumbo na konyagi bapa moja nkachukua condom packet mbili za life style nkamvutia waya mtot akaja .
Nkazama nae gesti Aaaaaaa mtoto anamegana huyo kama anawazimu nshakula zangu bapa hapo atanieleza nin tena piga mambo piga mambo mtoto kakojoa Mara ya kwanza na ya pili mlume bado npo ila natoka jasho mingi mpaka mkund*** yan da nkajua Leo nakufa Mara paaap naskia kimya na ile miguno siiskii tena kumcheki mtot amenilalia kifuani duuu nkasema amedead nn

Nkamtoa mdogo mdogo nkijua amekufa kumsikiliza mapigo ya moyo yapo kwa mbali kumbe alizimia bwana aiseee bado nusu nimkimbie nkampea pea akazinduka akaenda kuoga akarudi akarudi nkamuambia unajiskiaje akasema yupo njema tu nkampa ela yake akatembea japo ckukojoa hata moja yan
Siku ya pili nkampigia simu vp twende ukanipe akakataaa
Aknijibu nyoooo ukanizimishe tena kama Jana
Ankabakia kucheka tuu.
Mwananyamala kuna raha zake na karaha aiseee

I thank God for my dick man
Mwananyamala wasiojua kukataa huko Sunrise, Kisiwani, Manjunju kwa Mzigua90, kwa Mama Zakaria
 
Mmh hiyo huyo tulikua tunamtania hadija kiatu ahahhah alikua ananuna halaf Mungu alivyo wa ajabu nikaja kufanya kazi na marehemu baba yake mzee kiaratu alikua muhasibu wetu siku ya siku namuona hadija ofisini akaniambia nimekuja kumsalimia baba ndio kumwambia mzee kiaratu mwanao nilisoma nae
Duuu we unaitwa Nani nimpigie sister nimpe umbea
 
Dr matunge, ukimuita matunge unamkosea heshima.
Wa kino tulioona MKBar, Meridian, Vijana club, lang'ata, masai zikifunguliwa nyosha vidole
Dr Uchwara teh akina mama wa katoliki walipeleka jumuia nyumbani kwake akawa anaendelea na shughuli zake za uganga ila familia ipo kwenye jumuia uwani kwake!Wanajumuia wakaanza kulalamika huyu mzee mbona haji akawasikia;akaenda akawaambia mnanitafuta nini nyinyi watu nimewapa nyumba na mke wangu lakini bado mnalalamika wote wakapiga kimya;Mzee kauzu sana
 
Muulize kwanza anamkumbuka farashuu ljoh na Jenifer kachele na Amina ridhiwani akikujibu tu kuhusu hao nitakuwa namjua
Huko mbali

Achukue tu hiyo avatar amuonyeshe yeye mwenyewe atasema bwana huyu ni Emmy.
 
Dr Uchwara teh akina mama wa katoliki walipeleka jumuia nyumbani kwake akawa anaendelea na shughuli zake za uganga ila familia ipo kwenye jumuia uwani kwake!Wanajumuia wakaanza kulalamika huyu mzee mbona haji akawasikia;akaenda akawaambia mnanitafuta nini nyinyi watu nimewapa nyumba na mke wangu lakini bado mnalalamika wote wakapiga kimya;Mzee kauzu sana
Ahahahhaa
 
Pale kwa chabo ni balaa!kuna story M/kiti wa Serikali ya Mtaa Msisiri enzi hizo alienda kugegeda akapigwa chabo na wahuni muda mrefu tu ikafika kipindi anataka kumla tigo dada;basi kuna mpiga chabo akapayuka dah M/kiti na wewe unafi..!Mchezo uliishia hapo na M/kiti alipotea mtaani kwa muda mrefu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom