James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Kuna mmoja alikuwa Tanga huwa anasema " Akishawai kuhamisha watu msikiti"Yale maneno ndo raha ya draft yenyewe,unasikia jamaa anakuambia eti" Mimi nimewahi pewa mke na mimba yake sababu ya hivi vitu sasa wewe unakuja kujifunzia kwangu" hahahaha
Naitwa mjushi naishi tandale..njoo jukwaa la tv kule tufanye kazi acha mbinu zako za mwijuma ktk makorokoro ulikuwa unakula mabumunda shunie hatariSawa nakuja ebu niambie basi unaitwa nani jaman kwahiyo upo uk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwendraa zako nilikua napenda kachori za yule mama na supu na ndizi na nyama za yule mama mama muuza ndizi na zile ice cream kubwa za orangeNaitwa mjushi naishi tandale..njoo jukwaa la tv kule tufanye kazi acha mbinu zako za mwijuma ktk makorokoro ulikuwa unakula mabumunda shunie hatari
Mabingwa wote wana kopi zao ukicheza tuu anajua hiyo kopi ni ya nani.Kama ulikua unaongea sana halafu jahazi ndiyo linakuzamia mwenzako anaanza
"Wewe tatizo umeanza kijifunza maneno kabla ya draft, haya tulia kitandani hapo"
Usikae an mtu unayemheshimu kwenye drafti, mzee wangu alipigwa maneno tukaona kainuka kachukua stuli kamrushia jamaa, na ni marafiki hakuna
Nakucheck now wassapNaitwa mjushi naishi tandale..njoo jukwaa la tv kule tufanye kazi acha mbinu zako za mwijuma ktk makorokoro ulikuwa unakula mabumunda shunie hatari
Poapoa..Nakucheck now wassap
FARU ya manzeseBEACH BOY ya ferry NATIONAL ya tandale hizo timu zikija kucheza na SWAZI lazima watu kbla mpira hujaisha tutokee kwenye mabatiNimeondoka hapo kitambo sanaa hivi ule uwanja wa spurs bado upo ,aise pale ilipigwa mechi moja Kali miaka ya 2001 Kati ya faru dume ya manzese na timu nyingine nimeisahau aise ile mechi baada ya firimbi ya mwisho tu uwanja ukageuka kuwa wa vita.
Mbona me nakuelewa tu wasiwasi wako tu rrondoNajua ipo
siku utanielewa tu...
Ukiwa umekulia dar watu Wa Mwananyamala lazima ukutane nao ktk mpira ndondo au ligi za mchangani , beach club au shuleni lazima waraouathiri tuu au utapata story zao au kuzushuhudiaHaha...inavyoonekana wanajamii Forum wengi wanaishi au wamewahi kuishi mwananyamala...manake mnavotiririka...hatar sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa mkuu nimekusomaMkuu unataka simu humu?? Ila usirudi humu ataufanyi biashara humu wandewa sorry acheni nimpe simu kwanza huyo mdau ndugu ni PM nikupe 6+ boxed
Fastaaa mkuu usigande[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa mkuu nimekusoma
Nimepita tu ...karai la Zege!We msukule wa ccm na ww upo huku
Nimemshangaa sana huyo jamaa...hivi anadhani tukikutana kama wanaJF basi kutatokea ngumi ...by the way ni muhimu watu wakatambua tu watanzania na wote tunaitakia mema nchi japo kwa approach tofauti.Jingalao kwenye huu uzi ameonesha nidhamu ya hali ya juu, unataka umtibue tuanze kubadili mada na kusababisha ban zisizo na msingi.
Siasa ni siasa tu but mwisho wa siku sote ni ndugu na ndio maana tunafurahi pamoja kwenye huu uzi bila kuingizia itikadi zetu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Watu wa draft wana shombo sanaMabingwa wote wana kopi zao ukicheza tuu anajua hiyo kopi ni ya nani.
Kuna siku watu wamecheza kete mbili mbili tu wanapanga suluhu.
Kuna siku nilipita mabibo hostel pale kwa wauza viatu kuna Mzee mmoja alimfunga mwanachuo kisha akamuuliza wewe unasona Chuo?
jamaa akasema ndio. Mzee akamwambia " hufai kuwa chuo huna akili za draft huko chuo itakuwaje"