dugumbibogozo
Member
- Jul 7, 2015
- 55
- 84
Mzee Mbilinga huyo mkuuMwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.
Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.
Akaandika Chama Ha Mapundusi
Mwandiko kama bata.
Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu
"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbavu zangu eehMwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.
Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.
Akaandika Chama Ha Mapundusi
Mwandiko kama bata.
Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu
"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
We jamaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
Hahahahaha wewe jamaa ni wa huku huku.Mzee Mbilinga huyo mkuu
Wananchi wa kwa kopa ni mazombie
Hata Dr Matunge wa Matunge herbalist clinic alikuwa Mwananyamala si mbali sana na Mwananyamala hospitalKuna mganga alikua anajiita Dr Faru ilikua watu wanapandisha mapepo halafu yanasema tunataka kwenda kwa Dr Faru ndiyo tutatoka.
Ni mwananyamala nina uhakika alikuwa anafunga kwa buku mbili dstv ndani kwa kichumba sijui ofisi kulikuwa na vikorokoro vingi.Ahhha na kuna jamaa aliwahi kukamatwa sema location sikumbuki vzur,yeye alikuwa anakuunganisha dstv,azam ,startmies,nk kwa Pamoja nadhani alkuwa anachaji bk 5 pekee
Imebidi nicheke tuPia usisahau Mwananyamala ndio sehemu pekee unaweza ukapata Wali Maharagwe kwa tsh 300 na ukashiba kabisa!
Lazima nilete marejesho hapahapa mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna kipindi cha mfungo wa Ramadhani pale Kulesi(Bakule) wakaweka tangazo la taarab kiingilio kinywaji tu sasa kwenye lile bango wakaandika "kwa ndg zetu waliofunga daku pia inapatikana" dah kwenye swala ya saa mbili pale mtambani kuna jamaa akawatangazia waumini,kama unavyojua pale makareteka kibao na ukizingatia mwenye bar aliyeandika tangazo mgalatia! Waliingia pale bar zilitembezwa bakora na karate kwa kila waliyemkuta,mwenye bar alijificha wangemkamata wangeua
Wewe ni msagasumu yule msanii, au umechukua tu jina la mwenzako ili tumstue jamaa aanze kudai ada ya kutumia jina lakeMkuu toa address nzuri na sisi tupite siku moja moja ahhaaha
Matokeo yalikuwaje mkuu?Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.
Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.
Akaandika Chama Ha Mapundusi
Mwandiko kama bata.
Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu
"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa unatishaNa buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
Hawajamuibia mahindi kwenye kubeti? Nadhani wana uwezo wa kutengeneza mkeka mechi zishachezwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] pale mahali basi tu.. Mwananyamala pia walikuwepo wengi tuu na wa kupigisha simu nje ya nchi.. Ticket za ndege nk.. Yani inasoma kabisa... Unasafiri kwenda china na kurudi kwa laki 7 tuu
Yule mzee noma ofisi anaiendesha mwanae yeye katulia nyumbaniHahahahaha wewe jamaa ni wa huku huku.
Siyo mazombie yule mzee kashaua wenzake kibao kisa hiyo nafasi, ndiyo maana hata ndani ya chama chake hawampingi