Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.

Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.

Akaandika Chama Ha Mapundusi

Mwandiko kama bata.

Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu

"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
Mzee Mbilinga huyo mkuu
Wananchi wa kwa kopa ni mazombie
 
Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.

Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.

Akaandika Chama Ha Mapundusi

Mwandiko kama bata.

Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu

"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbavu zangu eeh
 
Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
 
Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
We jamaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ahhha na kuna jamaa aliwahi kukamatwa sema location sikumbuki vzur,yeye alikuwa anakuunganisha dstv,azam ,startmies,nk kwa Pamoja nadhani alkuwa anachaji bk 5 pekee
Ni mwananyamala nina uhakika alikuwa anafunga kwa buku mbili dstv ndani kwa kichumba sijui ofisi kulikuwa na vikorokoro vingi.


Maafisa wa dstv waliongozana na Polisi

Wakazi walikuwa wanafaidi super sport na channel 400 sijui kwa buku mbili tu

Sema aliyemchoma mungu amlaani
 
Kuna kipindi cha mfungo wa Ramadhani pale Kulesi(Bakule) wakaweka tangazo la taarab kiingilio kinywaji tu sasa kwenye lile bango wakaandika "kwa ndg zetu waliofunga daku pia inapatikana" dah kwenye swala ya saa mbili pale mtambani kuna jamaa akawatangazia waumini,kama unavyojua pale makareteka kibao na ukizingatia mwenye bar aliyeandika tangazo mgalatia! Waliingia pale bar zilitembezwa bakora na karate kwa kila waliyemkuta,mwenye bar alijificha wangemkamata wangeua
 
Kuna kipindi cha mfungo wa Ramadhani pale Kulesi(Bakule) wakaweka tangazo la taarab kiingilio kinywaji tu sasa kwenye lile bango wakaandika "kwa ndg zetu waliofunga daku pia inapatikana" dah kwenye swala ya saa mbili pale mtambani kuna jamaa akawatangazia waumini,kama unavyojua pale makareteka kibao na ukizingatia mwenye bar aliyeandika tangazo mgalatia! Waliingia pale bar zilitembezwa bakora na karate kwa kila waliyemkuta,mwenye bar alijificha wangemkamata wangeua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.

Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.

Akaandika Chama Ha Mapundusi

Mwandiko kama bata.

Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu

"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
Matokeo yalikuwaje mkuu?
 
Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa unatisha
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pale mahali basi tu.. Mwananyamala pia walikuwepo wengi tuu na wa kupigisha simu nje ya nchi.. Ticket za ndege nk.. Yani inasoma kabisa... Unasafiri kwenda china na kurudi kwa laki 7 tuu
Hawajamuibia mahindi kwenye kubeti? Nadhani wana uwezo wa kutengeneza mkeka mechi zishachezwa
 
Ukiona mgonjwa wako amelazwa mwananyamala hospital hesabia amekufa


Kuna watu kama 5 huku mtaani vijana walilazwa hospitali ya mwananyamala na wakafa na wengi hufa karibia na alfajiri ,mpaka watu wakawa wanatania endapo mtu akitaka kwenda kutibiwa hospitali ya mwananyamala ..mie siwezi kwenda kutibiwa hospitali ile kama nikiwa mahututi


Sema madaktari wao wapo poa sana nimechonga vyeti vya ugonjwa feki vingi
 
Back
Top Bottom