Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Huyo manyau nyau ni msenge na ni muongo..ndio kwanza leo nimetukana JF tokea nijiunge


Manyau nyau alikuja mtaani kwetu alikuwa anafanya hivyo hivyo anafukua vitu na kuanza kuelezea matumizi yake, gharama yake na athari zake


Zile vitu anafukia usiku na anawatuma vijana 2005 sijui 2006 alikuja kitaa kutoa uchawj ,tumefukia sana usiku halafu mchana anapita mitaa ile tuliyofukia na kuanza kufukua na kudanganya watu "mazombi"


Huyo muongo hakuna uchawi anatoa vitu anawatuma vijana wake na alipofikia huku mtaani kwenye nyumba wale vijana ambao tunajuana nao akawa anawatuma wakafukie
 
Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Khanic sana yule mtoto khanic mtifumtifu kabisa manyaunyau lile gogo nimekaa sana [emoji23] [emoji3] [emoji1] [emoji3] alitibua masela na wahuni wote kusema wameliwa shenzi sana yule dogo [emoji9] sijui yupo segere huko na mbwembwe zake za kung'ata shingoni
 
Ni mwananyamala nina uhakika alikuwa anafunga kwa buku mbili dstv ndani kwa kichumba sijui ofisi kulikuwa na vikorokoro vingi.


Maafisa wa dstv waliongozana na Polisi

Wakazi walikuwa wanafaidi super sport na channel 400 sijui kwa buku mbili tu

Sema aliyemchoma mungu amlaani
Alaaniwe kabisa aaah
 
Kuna kipindi cha mfungo wa Ramadhani pale Kulesi(Bakule) wakaweka tangazo la taarab kiingilio kinywaji tu sasa kwenye lile bango wakaandika "kwa ndg zetu waliofunga daku pia inapatikana" dah kwenye swala ya saa mbili pale mtambani kuna jamaa akawatangazia waumini,kama unavyojua pale makareteka kibao na ukizingatia mwenye bar aliyeandika tangazo mgalatia! Waliingia pale bar zilitembezwa bakora na karate kwa kila waliyemkuta,mwenye bar alijificha wangemkamata wangeua
Huko mbali waumini wa msikiti wa taqwa walikwenda kufunga bar kwa bakora za haja
 
Huyo manyau nyau ni ****** na ni muongo..ndio kwanza leo nimetukana JF tokea nijiunge


Manyau nyau alikuja mtaani kwetu alikuwa anafanya hivyo hivyo anafukua vitu na kuanza kuelezea matumizi yake, gharama yake na athari zake


Zile vitu anafukia usiku na anawatuma vijana 2005 sijui 2006 alikuja kitaa kutoa uchawj ,tumefukia sana usiku halafu mchana anapita mitaa ile tuliyofukia na kuanza kufukua na kudanganya watu "mazombi"


Huyo muongo hakuna uchawi anatoa vitu anawatuma vijana wake na alipofikia huku mtaani kwenye nyumba wale vijana ambao tunajuana nao akawa anawatuma wakafukie
Bora umeongea uliyehusika! Utaelimisha wengi
 
Nimeishi na kusoma mwananyamala.Kuna mganga mmoja wa kienyeji alikuwa anaitwa profesa vulata (sijui yupo wapi nowadays).Kuna jirani yetu alienda na nduguze kupata tiba ktk clinic yake.Wakati tiba na manyanga yakiendelea,ghafla mpiga nyanga akashuka na dari puuuuu hadi chini alipokuwa mgonjwa na nduguze.Mgonjwa na nduguze walitoka mbio acha tu.
Waganga huwa ni waongo waongo sana haha sidhani.kama kuna mtu muongo kama mganga
 
Mwananyamala ni katika miji ambayo haibadiliki ipo vilevile miaka nenda rudi.
Sio kweli, mabadiliko yapo na usela na uhuni umepungua tofauti na miaka ya 2000, ila sasa hivi janga ni wanawake wadangaji na vigodoro. Hatumalizi wiki bila kuona kigodoro au kutunzana, ukioa na ukija kuishi mwananyamala kamwe usimruhusu mkeo awe na shoga au rafiki, jiandae kwa maumivu. Wadangaji kibao wamepanga vyumba mwananyamala. Tuliozoea mji tunainjoy maana wauni wakikujua au ukiwa unawatoa kidogo wanakuogopa, kukuheshimu na kukulinda wewe na wanaokuzunguka. Karibuni sana mwananyamala
 
Nimeishi na kusoma mwananyamala.Kuna mganga mmoja wa kienyeji alikuwa anaitwa profesa vulata (sijui yupo wapi nowadays).Kuna jirani yetu alienda na nduguze kupata tiba ktk clinic yake.Wakati tiba na manyanga yakiendelea,ghafla mpiga nyanga akashuka na dari puuuuu hadi chini alipokuwa mgonjwa na nduguze.Mgonjwa na nduguze walitoka mbio acha tu.
Huyo vulata ni kitambo sana.
 
Hata Dr Matunge wa Matunge herbalist clinic alikuwa Mwananyamala si mbali sana na Mwananyamala hospital
Matunge nae msanii tu mbogo,silvester watoto wake nowdys wamebaki kujichora matatoo km blackboard dah mwanayamla sio sehem salama kwa malezi ya mtoto wako...kuna mmoja alikuja kuanzisha hostel maeneo ya kwa baba happy kwa nyuma pale madada wa hostel walikuwa wanaliwa deo(chabo) mpka wamechanganyikiwa maana awana pakwenda kushitaki unakuta mjumbe wa shina nae mla deo ikafika kipindi wanapiga story tu na wazee wa chabo wakiwa madirishani..madada wanasema "basi tuacheni tulale chabo mpaka tukiwa tunajisomea?? dah na nyie mezidi""? wazee wa deo wanajibu "FUNGUA KIDOGO nione naondoka"
 
Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nahic na ww ushakaa sana kwenye hilo gogo
 
Abajalo ni ya Sinza,mashabiki wake walikuwa wanaanzia Sinza Lion Hotel, Mashujaa Shule ya Msingi, Kwa Remy,Sinza Mori
 
Back
Top Bottom