Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Mzee Mbilinga huyo mkuu
Wananchi wa kwa kopa ni mazombie
Ahahaha Mbilinga mwenyekiti wangu wa mtaa, yuko kitambo sana yule mzee.....Ila mwananyamala ni sehemu unayotakiwa kuishi kwa taadhar sana ....Kuna siku kwa kopa mida ya SAA 10 mnyasa kapigwa roba pembeni ya road wahuni wakamkamua kila kitu yaan bila uoga wwte
 
Nimeishi na kusoma mwananyamala.Kuna mganga mmoja wa kienyeji alikuwa anaitwa profesa vulata (sijui yupo wapi nowadays).Kuna jirani yetu alienda na nduguze kupata tiba ktk clinic yake.Wakati tiba na manyanga yakiendelea,ghafla mpiga nyanga akashuka na dari puuuuu hadi chini alipokuwa mgonjwa na nduguze.Mgonjwa na nduguze walitoka mbio acha tu.
Profesa vulata alikufa siku nyingi
 
Sio kweli, mabadiliko yapo na usela na uhuni umepungua tofauti na miaka ya 2000, ila sasa hivi janga ni wanawake wadangaji na vigodoro. Hatumalizi wiki bila kuona kigodoro au kutunzana, ukioa na ukija kuishi mwananyamala kamwe usimruhusu mkeo awe na shoga au rafiki, jiandae kwa maumivu. Wadangaji kibao wamepanga vyumba mwananyamala. Tuliozoea mji tunainjoy maana wauni wakikujua au ukiwa unawatoa kidogo wanakuogopa, kukuheshimu na kukulinda wewe na wanaokuzunguka. Karibuni sana mwananyamala
usela na uhuni sio mabadiliko,vipi kuhusu miundombinu vipi kuhusu nyumba za mwananyamala ,maendeleo ya mji mwananyamala hayafanani hata na ya ule jirani pale kinondoni.miaka ya 90 ilikuwa hutofautishi kinondoni,mwananyamala,hata buguruni lakini angalia sasa utofauti uliopo.
 
Mada ya James Ngomero bingwa mtuhumiwa wa vichanga 11 imenikutanisha na watu wengi ambao kwa namna moja ama nyingine tunaweza kuwa tunafahamiana kabisa...
Si hilo tu bali nimegundua sehemu kubwmateja ana JF Dar wing ni wakazi wa Mwananyamala/ Kinondoni katika ujumla wake... Kuishi Mwananyamala pekee ni chuo tosha... Ikiwapendeza kwa uwingi wetu tunaweza kuwa na huu uzi wa vituko vya Mwananyamala mtaa kwa mtaa... Naamini kama umeishi Mwananyamala hutokosa cha kusimulia

1. Madawa ya kulevya ; Mwananyamala eneo lote la Mwananyamala A ni kituo na kitovu kikubwa cha madawa ya kulevya kuanzia wauzaji mapusha mpaka watumiaji... Hospital ya mwananyamala ina kituo cha kutoa tiba kwa mateja na nadhani ndio kituo kikubwa zaidi Tanzania

2. Hospital ya mwananyamala ; ndio hospital maarufu zaidi yenye vituko na kashfa nyingi... Kuanzia kutoa mimba, kashfa ya vichanga 11, wizi wa maiti, rushwa... Maiti iliyofumuliwa na kutolewa madawa na madaktari kuiba hayo madawa,... Nknk

3. Matapeli ; hapo ndio kwake.. Mitaa maarufu ikiwa ni kuanzia kwa Kopa, A mpaka karibu na Kinondoni B, wale matapeli maarufu mmoja akijulikana kama doctor... Wale matapeli kiboko wa Jerry muro bar yao kubwa ilikuwa nyuma ya hospital ya mwananyamala

4. Ofisi na kampuni za mifukoni.. Eneo lote la Kinondoni mkwajuni mpaka biafra ni hatari kwa shughuli hizo.. Utataka nini ukose.. Mihuri ya siri? Nyaraka za serikali? Mikataba mbalimbali, nyaraka za kusafisha mizigo.. Pesa bandia, madini bandia.. Kila kitu hukosi hapo
Mitaa hiyo ni maarufu kwa madaktari feki, wanausalama, polisi, wanajeshi mahakimu wanasheria, wabunge hata mawaziri nk

5. Machangudoa wasagaji mashoga Mario nk... Mtaa wa wibu ndio kama kitovu cha mashoga.. Ukiwasikia kina anti abuu, anti Ali hiyo ndio ilikuwa mitaa yao.. Habari za Machangudoa na wasagaji zinajulikana wazi.. Kinondoni na Mwananyamala ndio headquarters

6. Wezi, vibaka majambazi, wakora nao wako.. Ukisikia roba za mbao na watu wanaitwa mbavu Mwananyamala ndio kwao

7. Wachawi wanga na waganga... Wamo pia.. Mwananyamala kuna military base kubwa sana/KILINGE ya wachawi.... Lile anga limechafuka

8. Wasanii wanamuziki wa aina zote bongo movies, taarab, nk kaliba yote hii kwa sehemu kubwa chimbuko ni Mwananyamala

9. Wahamiaji haramu, wakongo wamalawi wakenya waganda warundi nk... Sehemu kubwa wamejazana Mwananyamala

Yako mengi ya kuandika kuhusu Mwananyamala siwezi kuyamaliza yote... Mengine yataandikwa na kusimuliwa na wana JF, Mwananyamala wing...
Hapo kwenye namba 7 vipi hawa manabii na mitume hakuna huko kwasababu kazi ya manabii na mitume ni kusambaratisha wachawi wanavyojinadi.
 
Mwishoni na mawanzoni mwa miaka ya 2000 kipindi hiyo kinondoni unga unauzwa kila baada ya nyumba moja enzi hiyo mzungu maarufu ni Ali Moja alikua anatupa dili za kubadilisha hela za coin kuwa noti hizi coin ni zile zinatoka kwa mateja wakinunua plama tunatembeza madukani kuanzia mkwajuni hadi block 41, kipindi hiyo coin haziuzwi vituo vya daladala
 
usela na uhuni sio mabadiliko,vipi kuhusu miundombinu vipi kuhusu nyumba za mwananyamala ,maendeleo ya mji mwananyamala hayafanani hata na ya ule jirani pale kinondoni.miaka ya 90 ilikuwa hutofautishi kinondoni,mwananyamala,hata buguruni lakini angalia sasa utofauti uliopo.
Kuhusu maji siku hizi dawasco wamejitahidi sana kila nyumba wanapita kuweka mabomba ya maji hasa kwa maeneo kuanzia ccm mwinyijuma mpaka kidile na maeneo mengine ya ndani ndani, zamani matanki ya maji yalikuwa mengi ila siku hizi hakuna kuuziana maji, maendeleo mengine yanakuja kibinafsi ikifuatana na miundombinu na malengo ya serikali na serikali ya mtaa
 
Hiyo namba 7 inakuhusu Mshana kwa ile ndoto ulivyokuwa unamkaba mwana JF
 
Kuna biashara inaendelea pale minazini kuna nyumba imejengwa km madarasa ya shule (jina maarufu kwa wahaya) kipindi kile bao moja ilikuwa 1500, kulala 5000 mda wa biashara ni saa 7 mchana mpaka midnite vile vyumba vina milango miwili yanii unaingia mbele unatokea nyuma..wanaojiuza unawakuta wamekaa mlangoni pale chini mteja akija hakuna ata salamu ni speed tu ndani, kuna wamasai pale wao ni km walinzi wa ile biashara ukizingua kulipa wanakupa kichapo wateja wengine walikuwa wanakwenda kutolewa ndani ya room unakuta mteja amelipa 1500 ya mwendo mmoja yeye anaunganisha basi anaitwa mmasai fasta na bakora zake....pia hawa wamasai unakuta analipwa elfu 60 kwa mwezi ila mwisho wa mwezi anaambulia elfu 8 au 10 nyingne zote anakuwa anapewa huduma sana sana za buku 5 zile za kulala usk...HAPO ni MINAZINI
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
Kilichotokea baadaye [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umeisahau vipi Mwananyamala KomaKoma?
Masai Club kwa mzee mponda?
Nimekula sana hapo kwa mma ntilie karibu na A!
Usisahau hapo Mwananyamala kila familia haikosi mtoto mmoja au wawili wako UK..BRAZIL AU CHINA kwa shughuli za kipunda.
Kumbe jingalao huwa unachangamikia fursa eehhh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] watu walikufa
 
Mwananyama kwa utemi sasa kila kona kuna Gym, kuanzia vijana, komakoma, A, kisiwani kwa kidile...mirembe gym(hapa kuna gudu, dole) kwa mwalami gym( salum kiwiku) one nil gym( obede ngumu jiwe) bwawani huku kwa stevn nyerere (manchester gym shafii mashetani, albeto)...utemi utemi tu ktk mechi za mchangani LIGI ZA MBUZI game inapigwa pekupeku hio na wanaocheza ni baba flani watu wazima kabisa ndio alipotokea KANIKI huwa game aimaliziki lazima kiwake tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom