Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio bwana Mshana jr. Pale nimekuwa nikipata biere kwa miaka Sita mpaka mwaka 2013... Nilipoondoka Huko GuantanamoKwakopa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]ziko mbili ya hapa Barabarani na nyingine kule nyuma karibu na makaburi.... Ipi mojawapo?Ndio bwana Mshana jr. Pale nimekuwa nikipata biere kwa miaka Sita mpaka mwaka 2013... Nilipoondoka Huko Guantanamo
Hapa Lami si ndo kwa mzee mushi.... Kituoni kabisa kwa kopa.... Kwa baba yake Amon.... Mime kunywa pale, nikanywa kwa kibuyu.... Hapo lazima ngumu zitokee kila siku.... Nikanywa kwa peace pale pana supu ila sidhani Kama ni ng'0mbe.... Nikanywa royal nikamalizia kwa mzee kimbau.[emoji23] [emoji23] [emoji23]ziko mbili ya hapa Barabarani na nyingine kule nyuma karibu na makaburi.... Ipi mojawapo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapa Lami si ndo kwa mzee mushi.... Kituoni kabisa kwa kopa.... Kwa baba yake Amon.... Mime kunywa pale, nikanywa kwa kibuyu.... Hapo lazima ngumu zitokee kila siku.... Nikanywa kwa peace pale pana supu ila sidhani Kama ni ng'0mbe.... Nikanywa royal nikamalizia kwa mzee kimbau.
Na ukiona kwenye nyuzi za diaspora watu wanalalamika maisha ya ughaibuni ujue hao ni watoto wa kishua yamewashinda wamerudi bongo. Mtoto wa mwananyamala atue ughaibuni ageuze bongo thubutuu.. kuna watoto wa mwananyamala hadi huko Qeuta; Karachi; Lahore na Bombay wametulia hawawazi hata kukanyaga minazi mirefu wamefika huko. Na ukiingia Europe wapo kibao hata Brazil, Mexico, Venezuela wapo wametia nanga.. Ogopa sana mtoto wa mwananyamala atoke bongo harudii huyo.Hawa watoto hawajui maisha. Kuna watu successful kibao wamekulia huko. Shule tumesoma na watoto kibao wanatoka mitaa hio na huwezi kujua tofauti hapo shuleni. Wengine mmewatungia thread humu kusifu achievement zao na wamekulia hio hip mitaa wanayosema haifai.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Hapo kamanyola kuna chochoro lilikuwa refu ndo lina madirisha ya gest kuna mshkaj anaitwa ibrahim alienda kupiga chabo akakuta mama yake mzaz anasukumiwa mashine mbuz kagoma jamaa alilia kwa sauti mpaka wakasikia wahudumu
Na Marehemu Kasongo Mpinda Clayton nae aliishi Mwananyamala pia.Uzi huu hautanoga bila kumkumbuka marehemu Banza stone RIP
Na kuna ile Yauto Guest hivi bado ipo ile.. nayo kwa chabo maamae unapiga mzigo mara unashangaa pazia imelala harijojo ukicheck vizuri kumbe spoko imelitanua Mwananyamala hatarii sana.Salute... Golden rose vyumba vyake vina majina ya wanyama... Chumba bomba kilikuwa Nyati.... Bakule vyumba vilikuwa kwa namba chumba namba sita ndio kilikuwa chenyewe
Ilifikia mahali nikadhani chabo imezaliwa Mwananyamala [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na kuna ile Yauto Guest hivi bado ipo ile.. nayo kwa chabo maamae unapiga mzigo mara unashangaa pazia imelala harijojo ukicheck vizuri kumbe spoko imelitanua Mwananyamala hatarii sana.
Ukikosa chumba Buibui unasogea kidogo juu kule kwa kina Rehema Matonda kwa mbele Pachoto haahasha.Mzee unatishaa....
Sasa wazee na vijana wa mwananyamala walikuwa wanakimbilia kupigana mzigo Buibui Guest House....
Dr matunge, ukimuita matunge unamkosea heshima.Matunge naye yupo mitaa ya Kamanyola ana mtoto wake alikua model alicheza tangazo la Kili lager basi uswahilini akawa anaonekana mjanja yeye na videmu anawapopoa tu,kwa ile mitaa Matunge alikua anaonekana wa Kishua
Kulikuwa na Kauchochoro paleUkikosa chumba Buibui unasogea kidogo juu kule kwa kina Rehema Matonda kwa mbele Pachoto haahasha.
Umeisahau na PR camp ya Mzee Tairo na Mango Garden.Dr matunge, ukimuita matunge unamkosea heshima.
Wa kino tulioona MKBar, Meridian, Vijana club, lang'ata, masai zikifunguliwa nyosha vidole
Kwenye ako kauchochoro ukiimaliza ile nyumba pembeni nyuma kuna tairi mbili zimechimbiwa basi ukiona yanini kupoteza pesa za chumba unamkunja tu mtu pale fasta mnamalizana..Kulikuwa na Kauchochoro pale
Kanaunganisha mitaa wa Karafuu na Kasaba..
Alikuja kuziba Meja Jackson Msome...
Ulikipita pale unaingia Pachoto fasta...
Ile Garage ya Pachoto Mchana uwanja wa mpira jioni Bar..
Garage ikaanza kusogea polepole mpaka imekuwa full garage..
Ni open space ile..
Tulikuwa tunacheza sana mpira pale..