Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

wale washkjai ilikuwa noma ikitokea Mtemi mwingne wanataka wapigane nae saa ya kutoka mnazunguka nyuma kule uwanjani shule nzima tunaamia uwanjani kuangalia NGUMI kipindi hicho geti lilikuwa linatumika la mbele pekee lile linaloangalia njia ya kwenda ujiji
ticha mpogolo dah
huyu ticha anaeuza asklimu namkumbuka vizuri tuu ila nimemsahau jina ila sitamsahau sitamsamehe
au shunie ndo ulikuwa wewe nini umeachiwa dell siku hiyo nimekupa 50 halafu chenji yangu sh 40 ukadai umenirudishia wakt ujanipa si ndo akatokea huyu ticha akauliza una shaidi nikasema ndiyo akaja rafiki yangu akasema ndio hajampa chenji yake aisee basi bi dada ukakataa ukidai umenipa aisee tulichezea viboko balaa sitaisahau hiyo siku mpk wanafunzi wenzangu wakashauru nikamsemehe kwa mwalimu mkuu anauza asklim shule wkt ilikatazwa mwalinu kufanya biashara yaan walituonea huruma sana mm na shaidi wangu

nakumbuka ilikuwa standad 4 hiyo yale madarasa ya pembeni vidirisha vidogo viko juu upande wa uwanjani
Mwalimu nyamakate imebidi nimpigie simu farshuu ljoh anitajie jina ahhaha me sijawahi kugombana na mtu kuhusu chenji halaf mwalimu nyamakate ukiwahi lazima akupe dell halaf ice cream zake alikua haesabu nimezila mm jaman wakati nikiuza
 
kumbukumbu yangu ya nyamala ni ule uwanja wa B...yani lolote linaweza kutokea kabla,katikati na baada ya mechi
wahuni wanavuta bangi mbele ya askari
enzi hizo gemu za ndondo watu wanakuwa na majeshi mastaa,akina lunyamila,mohamed hussein mmachinga,said msasu(huyu alitokea timu ya kitaa chetu hadi akaenda simba)
tulikuwa tunatembea kwa mguu tokea mwembechai,tunadondokea tandale kwa tumbo flani,tunavuka kimto cha kizushi(daraja mti mmoja mwembamba,usipokuwa good balancer unadondokea majini ukitoka kambale wamekudandia nguoni)
kwa ufupi mwananyamala ni nyoko..my favorite spot ni masai these days....nyapu nje nje
 
kumbukumbu yangu ya nyamala ni ule uwanja wa B...yani lolote linaweza kutokea kabla,katikati na baada ya mechi
wahuni wanavuta bangi mbele ya askari
enzi hizo gemu za ndondo watu wanakuwa na majeshi mastaa,akina lunyamila,mohamed hussein mmachinga,said msasu(huyu alitokea timu ya kitaa chetu hadi akaenda simba)
tulikuwa tunatembea kwa mguu tokea mwembechai,tunadondokea tandale kwa tumbo flani,tunavuka kimto cha kizushi(daraja mti mmoja mwembamba,usipokuwa good balancer unadondokea majini ukitoka kambale wamekudandia nguoni)
kwa ufupi mwananyamala ni nyoko..my favorite spot ni masai these days....nyapu nje nje
Magomeni Kondoa
 
Madandi akaj kuwa mwalimu mkuu,alikuwa anapiga stick za uhakika ukimkera,mzee msiba tulimuibia sana mihogo mibichi na kina csto,
halafu we muhenga mwenzangu km unamjua CSTO tulikuwa wote enzi za nzile tuiton ya AL CAEDA mtihani wa la saba tunafanya chini ya ulinzi wa polisi na mtutu
we utakuwa ni wa enzi ya Class ya kina A lijoh F kawle. H sadallah.
J sembja(bonge) J sato kina chozi M kabali dadamkuu ZENA E PANTALEO mtoto wa mwalimu john Octavion tukawa tunamuita babu kutokana na vimvi zake ni wengi ila nimewataja wachache coz tulikuwa ICON tunategemewa sana darasa la A lile lililokuwa mkabala na ofisi za walimu ukiingia tu getini mbele ramani ya afrca na muembe

enzi hizo kabla haijagawanywa kuitwa MINAZINI
 
halafu we muhenga mwenzangu km unamjua CSTO tulikuwa wote enzi za nzile tuiton ya AL CAEDA mtihani wa la saba tunafanya chini ya ulinzi wa polisi na mtutu
we utakuwa ni wa enzi ya Class ya kina A lijoh F kawle. H sadallah.
J sembja(bonge) J sato kina chozi M kabali dadamkuu ZENA E PANTALEO mtoto wa mwalimu john Octavion tukawa tunamuita babu kutokana na vimvi zake ni wengi ila nimewataja wachache coz tulikuwa ICON tunategemewa sana darasa la A lile lililokuwa mkabala na ofisi za walimu ukiingia tu getini mbele ramani ya afrca na muembe

enzi hizo kabla haijagawanywa kuitwa MINAZINI
Daaah A wenye akili zao ahahha watu wa D wakina nusura ramadhani
 
Aliekuaminisha hivyo hakutakii mema! Ila hamna raha kama kwenda kuchukua mtoto uswazi halafu wale masela kitaa wanakumind....
Ahahhah hanitakii mema yapi tena jaman na wakati najionea rrondo tuache utani natamani sana kukujua nitakuja pm jaman achana na uswazi jaman ila si kwetu kwa mwananyamala ilikua ndio ushuani ya mwananyamala mtu akisikia unakaa A kwenye kota za nhc anaogopaaa
 
Ahahhah hanitakii mema yapi tena jaman na wakati najionea rrondo tuache utani natamani sana kukujua nitakuja pm jaman achana na uswazi jaman ila si kwetu kwa mwananyamala ilikua ndio ushuani ya mwananyamala mtu akisikia unakaa A kwenye kota za nhc anaogopaaa
Huwezi kwenda peponi bila kufa....A si hapamwanzo mwanzo mitaa ilipo ACB, masai club?
 
Mkuu mshana hio ni kweli kabisa wahauni walikuwa wana promse kabisa kuwa lazima niwape chabo leo WANA..sasa ole wake awazingue WANA wapo dirishani then deo awalipati kudadekii utajua kuwa wahuni awana ushikaji na mtu siku hio..**kuna huyu mmoja sasa yupo south wakuitwa jimmy yeye alikuwa ndio kamanda wa mademu kila siku dem mpya wahauni wamempa vyeo then anawapa wana deo hii nyumba anayoishi ni kwao yeye jimmy ndio kama baba mwenye nyumba pale mzee wake alifariki na mother wake yupo morogoro. kuna siku jimmy akaokota kademu mitaa ya msufini mchana tu ameopoa kale kademu kanajitia kageni Dar kabisa kimetoka pemba anaongea na lafudhi ya kipemba dah jimmy ajawai kupata mpemba akaona eeh leo nimepata nyama mpya mpya mbio mpaka kwa wahuni wake "jamaani eeeh leo deo la mpemba"" watu eeeh mpemba [emoji39] [emoji39] [emoji39] jimmy nomaaa sana mpaka mpemba oyoooooo"" bila ya kuchelewa mara Vuupu' jimmy geto na mpemba(feki) akafanya mambo yake kama kawa jimmy katoa deo..sasa jimmy huyu pia na yeye deo lipo ktk damu yake lazima amuache demu ndani japo alikuwa nae na yeye anajoin dirishani na masera wake wanamla deo dem ni basi tu mwenyewe nae anajisikia raha kuona shepu ya demu au just ajione tu anafanya nini dem akiwa alone geto ..jimmy akamwambia mpemba nakwenda kununua maji ya kunywa ya kiroba yale ya azam ilikuwa yanauzwa 50..** jimmy sasa yupo dirishani na masera wake kina bojo, boso, swea, mlela, kule ndani mtoto wa kipemba akaiendea chupi yake kwanza akainusa mara anajikunakuna chini mara anajitia kidole anatoa mara ananusa anakunja sura yake kabisa wahuni pale dirishan [emoji102] "eeh niaje hii huyu demu jini nini?? mpaka stimu zinakata dah [emoji15] jimmy mara anajisikia miwasho sehem za siri kumbe kale kapemba ni kamalaya kinyama nyama kina GONO sugu na pia sio mpemba kinatoka kwa mtogole tandale kinaitwa fatm MAGONO kinajulikana balaa tandale yote wahuni wanakipiga mande kila siku
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
NUSURA ha ha ha
haa halafu wewe nishakujua ha ha ha
ila sikutaji wewe ni Y mwana wa B
km ndo wewe wacha watu wakuzimie coz hizo avatar zako ni vilevile wewe ulivyo mrembo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana Bana me ni M mwana wa C acha niishie hapa aisee ukifungua hiyo code baki nayo moyoni
 
Ahahhah hanitakii mema yapi tena jaman na wakati najionea rrondo tuache utani natamani sana kukujua nitakuja pm jaman achana na uswazi jaman ila si kwetu kwa mwananyamala ilikua ndio ushuani ya mwananyamala mtu akisikia unakaa A kwenye kota za nhc anaogopaaa
we wakishua tangu primary pigo zako nilikuwa naziona tu mara ya mwisho kukuona ilikuwa kwenu nje pale wanapopaji bajaji hosptari
 
Back
Top Bottom