Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Duu hiyo hospital ina majini inabidi ibomolewe na kuhamishwa kabisa hapo
Kwa uliyoyaandika humu naona ni ghost hospital
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimekaa pembeni yake miaka zaidi ya saba
Aisee itakuwa umeshuhudia mengi sana mkuu
Sehemu ya hivyo yenye dhambi zote hizo unaweza kuona maiti anatoka mortuary anaenda kujisaidia anarudi tena
 
Aisee itakuwa umeshuhudia mengi sana mkuu
Sehemu ya hivyo yenye dhambi zote hizo unaweza kuona maiti anatoka mortuary anaenda kujisaidia anarudi tena
 
Aisee itakuwa umeshuhudia mengi sana mkuu
Sehemu ya hivyo yenye dhambi zote hizo unaweza kuona maiti anatoka mortuary anaenda kujisaidia anarudi tena
 
Mkuu hapo kwa Inno Kuna boss wake Don wakuitwa chale mamba.yanii eneo la big M ndio ilikuwa Aggry ya mwananyamala simu ya aina yoyote unaipata kwa Inno na chale mamba hapo Big M(Aggry)
Fundi wao wa simu alikuwa pale LBC simu zote zinazoibiwa mwenge, makumbusho stendi zinapelekwa hapo LBC ndio zilikuwa zinabadilishwa IMEI No inaitwa kusilimishwa or kubadilishwa Dini
Yanii wew uwe mfanyakzi wa TCRA kabisaa simu yako ikishafika hapo kwa LBC aionekani Tena ktk system inabadilishwa Dini..
Mwananyamala hio

Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeeee[emoji849][emoji849] kumbe imei number inaweza kubadilishwa??? Ama kweliii kila kitu lazima kina ufumbuzi
 
.
IMG_20190918_080145.jpeg
 
Back
Top Bottom