SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,805
- 1,876
Unajua huo mtaa uko sehemu gani?
Uzi ule ni wa waliokulia Masaki sasa mtu wa kinyume chake uzi wake huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua huo mtaa uko sehemu gani?
Uliona niliyemquote alikuwa ameandika niniUzi ule ni wa waliokulia Masaki sasa mtu wa kinyume chake uzi wake huu.
Uliona niliyemquote alikuwa ameandika nini
We **** achana na mimiKama wewe huwezi kuandika aliandika nini nani akuandikie. Ungem PM
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
Aisee itakuwa umeshuhudia mengi sana mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimekaa pembeni yake miaka zaidi ya saba
Aisee itakuwa umeshuhudia mengi sana mkuu
Sehemu ya hivyo yenye dhambi zote hizo unaweza kuona maiti anatoka mortuary anaenda kujisaidia anarudi tena
Aisee itakuwa umeshuhudia mengi sana mkuu
Sehemu ya hivyo yenye dhambi zote hizo unaweza kuona maiti anatoka mortuary anaenda kujisaidia anarudi tena
Eeeeee[emoji849][emoji849] kumbe imei number inaweza kubadilishwa??? Ama kweliii kila kitu lazima kina ufumbuziMkuu hapo kwa Inno Kuna boss wake Don wakuitwa chale mamba.yanii eneo la big M ndio ilikuwa Aggry ya mwananyamala simu ya aina yoyote unaipata kwa Inno na chale mamba hapo Big M(Aggry)
Fundi wao wa simu alikuwa pale LBC simu zote zinazoibiwa mwenge, makumbusho stendi zinapelekwa hapo LBC ndio zilikuwa zinabadilishwa IMEI No inaitwa kusilimishwa or kubadilishwa Dini
Yanii wew uwe mfanyakzi wa TCRA kabisaa simu yako ikishafika hapo kwa LBC aionekani Tena ktk system inabadilishwa Dini..
Mwananyamala hio
Sent using Jamii Forums mobile app