Mkuu hapo kwa Inno Kuna boss wake Don wakuitwa chale mamba.yanii eneo la big M ndio ilikuwa Aggry ya mwananyamala simu ya aina yoyote unaipata kwa Inno na chale mamba hapo Big M(Aggry)
Fundi wao wa simu alikuwa pale LBC simu zote zinazoibiwa mwenge, makumbusho stendi zinapelekwa hapo LBC ndio zilikuwa zinabadilishwa IMEI No inaitwa kusilimishwa or kubadilishwa Dini
Yanii wew uwe mfanyakzi wa TCRA kabisaa simu yako ikishafika hapo kwa LBC aionekani Tena ktk system inabadilishwa Dini..
Mwananyamala hio
Sent using
Jamii Forums mobile app