Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Mkuu hapo kwa Inno Kuna boss wake Don wakuitwa chale mamba.yanii eneo la big M ndio ilikuwa Aggry ya mwananyamala simu ya aina yoyote unaipata kwa Inno na chale mamba hapo Big M(Aggry)
Fundi wao wa simu alikuwa pale LBC simu zote zinazoibiwa mwenge, makumbusho stendi zinapelekwa hapo LBC ndio zilikuwa zinabadilishwa IMEI No inaitwa kusilimishwa or kubadilishwa Dini
Yanii wew uwe mfanyakzi wa TCRA kabisaa simu yako ikishafika hapo kwa LBC aionekani Tena ktk system inabadilishwa Dini..
Mwananyamala hio

Sent using Jamii Forums mobile app
He!hii kali
 
Khaa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee nimecheka hatari!!! Hebu hao waliokuwa wanakaa hapo watuambie walikuwa wanajisikiaje??...[emoji23] [emoji23]
Hapo ilibidi huyu mwenyekiti wa mtaa awe anakalishwa asubuhi hadi jioni kakalia gogo
 
Abajalo ni ya Sinza,mashabiki wake walikuwa wanaanzia Sinza Lion Hotel, Mashujaa Shule ya Msingi, Kwa Remy,Sinza Mori
Sisi ndio tulikua wakushi maskani yetu ilikua uwanja wa posta ilipojengwa school of law,herb kama kawa na wanangu bilida,man bola na wengineo
 
.
downloadfile-8.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.

Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.

Akaandika Chama Ha Mapundusi

Mwandiko kama bata.

Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu

"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
 
Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Hilo kwa jina la kitaalamu wanaliita Gonyagonya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
Akakudaka?
 
Back
Top Bottom