Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unamjua Wema (Mama John) nitahisi ulikua unamfuata yeyeNapamiss
KhaaaaaaMkuu mshana hio ni kweli kabisa wahauni walikuwa wana promse kabisa kuwa lazima niwape chabo leo WANA..sasa ole wake awazingue WANA wapo dirishani then deo awalipati kudadekii utajua kuwa wahuni awana ushikaji na mtu siku hio..kuna huyu mmoja sasa yupo south wakuitwa jimmy yeye alikuwa ndio kamanda wa mademu kila siku dem mpya wahauni wamempa vyeo then anawapa wana deo hii nyumba anayoishi ni kwao yeye jimmy ndio kama baba mwenye nyumba pale mzee wake alifariki na mother wake yupo morogoro. kuna siku jimmy akaokota kademu mitaa ya msufini mchana tu ameopoa kale kademu kanajitia kageni Dar kabisa kimetoka pemba anaongea na lafudhi ya kipemba dah jimmy ajawai kupata mpemba akaona eeh leo nimepata nyama mpya mpya mbio mpaka kwa wahuni wake "jamaani eeeh leo deo la mpemba"" watu eeeh mpemba [emoji39] [emoji39] [emoji39] jimmy nomaaa sana mpaka mpemba oyoooooo"" bila ya kuchelewa mara Vuupu' jimmy geto na mpemba(feki) akafanya mambo yake kama kawa jimmy katoa deo..sasa jimmy huyu pia na yeye deo lipo ktk damu yake lazima amuache demu ndani japo alikuwa nae na yeye anajoin dirishani na masera wake wanamla deo dem ni basi tu mwenyewe nae anajisikia raha kuona shepu ya demu au just ajione tu anafanya nini dem akiwa alone geto ..jimmy akamwambia mpemba nakwenda kununua maji ya kunywa ya kiroba yale ya azam ilikuwa yanauzwa 50.. jimmy sasa yupo dirishani na masera wake kina bojo, boso, swea, mlela, kule ndani mtoto wa kipemba akaiendea chupi yake kwanza akainusa mara anajikunakuna chini mara anajitia kidole anatoa mara ananusa anakunja sura yake kabisa wahuni pale dirishan [emoji102] "eeh niaje hii huyu demu jini nini?? mpaka stimu zinakata dah [emoji15] jimmy mara anajisikia miwasho sehem za siri kumbe kale kapemba ni kamalaya kinyama nyama kina GONO sugu na pia sio mpemba kinatoka kwa mtogole tandale kinaitwa fatm MAGONO kinajulikana balaa tandale yote wahuni wanakipiga mande kila siku
Kivipimwanyamala kiboko kuna jamaa tulimaliza nae form six alikuwa anishi mwananyamala tumemaliza pepa kama leo kesho wakanda coco beach na marafiki zake wa mwanyamala wakamumaliza huko huko
Mbona hujataja "soko la madini"?????Mada ya Mfahamu James Ngomero: Bingwa mtuhumiwa wa zile maiti 11 za watoto hospitali ya Mwananyamala imenikutanisha na watu wengi ambao kwa namna moja ama nyingine tunaweza kuwa tunafahamiana kabisa...
Si hilo tu bali nimegundua sehemu kubwa wanaJF Dar wengi ni wakazi wa Mwananyamala/Kinondoni katika ujumla wake...
Kuishi Mwananyamala pekee ni chuo tosha... Ikiwapendeza kwa uwingi wetu tunaweza kuwa na huu uzi wa vituko vya Mwananyamala mtaa kwa mtaa... Naamini kama umeishi Mwananyamala hutokosa cha kusimulia.
1. Madawa ya kulevya: Mwananyamala eneo lote la Mwananyamala A ni kituo na kitovu kikubwa cha madawa ya kulevya kuanzia wauzaji mapusha mpaka watumiaji... Hospital ya mwananyamala ina kituo cha kutoa tiba kwa mateja na nadhani ndio kituo kikubwa zaidi Tanzania.
2. Hospital ya mwananyamala: Ndio hospital maarufu zaidi yenye vituko na kashfa nyingi... Kuanzia kutoa mimba, kashfa ya vichanga 11, wizi wa maiti, rushwa... Maiti iliyofumuliwa na kutolewa madawa na madaktari kuiba hayo madawa,... Nk nk.
3. Matapeli: Hapo ndio kwake.. Mitaa maarufu ikiwa ni kuanzia kwa Kopa, A mpaka karibu na Kinondoni B, wale matapeli maarufu mmoja akijulikana kama doctor... Wale matapeli kiboko wa Jerry Muro, bar yao kubwa ilikuwa nyuma ya hospital ya Mwananyamala.
4. Ofisi na kampuni za mifukoni: Eneo lote la Kinondoni Mkwajuni mpaka Biafra ni hatari kwa shughuli hizo.. Utataka nini ukose.. Mihuri ya siri? Nyaraka za serikali? Mikataba mbalimbali, nyaraka za kusafisha mizigo.. Pesa bandia, madini bandia.. Kila kitu hukosi hapo. Mitaa hiyo ni maarufu kwa madaktari feki, Wanausalama, polisi, wanajeshi mahakimu, wanasheria, wabunge hata mawaziri nk.
5. Machangudoa, wasagaji, mashoga, Mario nk... Mtaa wa wibu ndio kama kitovu cha mashoga.. Ukiwasikia kina anti abuu, anti Ali hiyo ndio ilikuwa mitaa yao.. Habari za Machangudoa na wasagaji zinajulikana wazi.. Kinondoni na Mwananyamala ndio headquarters.
6. Wezi, vibaka majambazi, wakora nao wako: Ukisikia roba za mbao na watu wanaitwa mbavu Mwananyamala ndio kwao.
7. Wachawi wanga na waganga Wamo pia.. Mwananyamala kuna military base kubwa sana/KILINGE ya wachawi.... Lile anga limechafuka.
8. Wasanii wanamuziki wa aina zote: Bongo movies, Taarab, na kadhali kaliba yote hii kwa sehemu kubwa chimbuko ni Mwananyamala.
9. Wahamiaji haramu: Wakongo, Wamalawi, Wakenya, Waganda, Warundi nk... Sehemu kubwa wamejazana Mwananyamala.
Yako mengi ya kuandika kuhusu Mwananyamala siwezi kuyamaliza yote... Mengine yataandikwa na kusimuliwa na WanaJF - Mwananyamala Wing...
hii nmekutana nayo leo telegram jamaa anauza units 750 kwa sh 20000 tena anakufata kabisa kwako nikashtuka kumbe ipo kweliKama kawa na siku anakamatwa wala hakuwa na wasiwasi akasema eti alikuwa kwenye mchakato wa kuwasiliana na Tanesco ili awe wakala kamili
Aliye jaribu hii kitu aseme Kama ni kwelihii nmekutana nayo leo telegram jamaa anauza units 750 kwa sh 20000 tena anakufata kabisa kwako nikashtuka kumbe ipo kweli
Hili la wagonjwa kufariki alfajiri kuanzia saa 9 mpaka 11 lina ukweliUkiona mgonjwa wako amelazwa mwananyamala hospital hesabia amekufa
Kuna watu kama 5 huku mtaani vijana walilazwa hospitali ya mwananyamala na wakafa na wengi hufa karibia na alfajiri ,mpaka watu wakawa wanatania endapo mtu akitaka kwenda kutibiwa hospitali ya mwananyamala ..mie siwezi kwenda kutibiwa hospitali ile kama nikiwa mahututi
Sema madaktari wao wapo poa sana nimechonga vyeti vya ugonjwa feki vingi
Achana nayo hiyo..hii nmekutana nayo leo telegram jamaa anauza units 750 kwa sh 20000 tena anakufata kabisa kwako nikashtuka kumbe ipo kweli
ni kweli kabisa syo kwamba uongo nadhani kuna uwezekano wakawa ni it wa hukoAliye jaribu hii kitu aseme Kama ni kweli
Mana jamaa mmoja alitaka aweke vyakula kwa freezer sema mchawi unit tu aliona huko telegram ila hakuna prove Kama ni kweli na uhakika.ni kweli kabisa syo kwamba uongo nadhani kuna uwezekano wakawa ni it wa huko
bdo yupoDuh hajakamatwa?
nyie mtfuteni tu telegram mie siwez mchomea au kuwalengesha humuMana jamaa mmoja alitaka aweke vyakula kwa freezer sema mchawi unit tu aliona huko telegram ila hakuna prove Kama ni kweli na uhakika.
Kama huyo mtu yupo wa kukufata sijui nampataje