Vituko vya ndoa Jamani

Vituko vya ndoa Jamani

sidhani kama siku kama hiyo ipo kwenye kalenda ya kichwa chake, maana jibu tayari analijua. some things are just imposible you know. Mimi ntaacha kazi kwa kupenda mwenyewe na kwa sababu ambazo naona zinafaa na siyo kwa sababu tu mume ametaka niache. Kuna watu wanawambia wake zao you get everthing, why not stay at home? kumbe wanasahau hata maji ya asubuhi uogapo kwenda job ni dawa, it gives you a sense of fulfilment, it gives you exposure and you get time to know what is going on. Sasa ukifungiwa ndani ubaki unapika na kupakua, unalala na kuangalia tv, for some of us thats more than being in a prison. ieleweke watu wqnafanya kazi kwa malengo mbalimbali si tu mshahara.

Carmel,

Wala usiwe na shaka. Kama unajua unachohitaji katika mahusiano huwezi kupata shida. Halafu wanaume wanapima upepo kabla ya kuleta hoja. Kwa hiyo kwa mtu kama wewe naamini hataweza kukueleza upuuzi kama huo. Shida yangu ni wanawake ambao wapo wapo hata wakiambiwa kwenda kwao likizo wanaenda tu bila kujua kuwa labda mume anatafuta nafasi akapumue na nyumba ndogo. Yaani hawawezi kuhoji lolote. Nawaonea huruma sana dada zangu wa aina hiyo.
 
Kweli hivyo ni vituko vya kwenye ndoa,
Wadau Mimi nimfanyakazi Mke wangu nimfanyakazi wote tunapata Mshahara sawa!!Lakini pesa zangu ndizo zinafanya kila kitu ndani!!Yeye ukimwuliza anasema wewe sindo baba mwenye nyumba!!Yeye zake nikununua mahitaji yake binafsi!!Sasa na Mpango wakumwachisha kazi je nitakuwa nimemkosea??kwani sioni sababu ya yeye kufanya kazi!!
 
that is the attitude, umsikilizie kama atakubali.

hapo unamkata kauli

Na ndio maana wanaume wengine wanapenda kuoa darasa la saba ili wawaendeshe wanavyotaka kama gari bovu.Wanasingizia eti WASOMI wna kiburi kumbe wanatafuta mteremko wa ndio ndio bila reasoning yoyote.

ooh yeah!!! wanataka mwanamke 'hewala bwana'
usipokubaliana na hoja zao basi wewe si mke mtiifu huna nidhamu kwa mume wako na una kiburi
 
mie nilimjibu bora tutangane/tuachane...ckuona sababu ya mie kuacha kazi kwa ajili ya vijimambo vyake tu.

mbaya zaidi unawezakuta jamaa anakukataza sababu tu ya wivu and not otherwise
 
Na ndio maana wanaume wengine wanapenda kuoa darasa la saba ili wawaendeshe wanavyotaka kama gari bovu.Wanasingizia eti WASOMI wna kiburi kumbe wanatafuta mteremko wa ndio ndio bila reasoning yoyote.

Lakini dada wapo wasomi pia ambao wamezuiwa kufanya kazi na wengine wanacharazwa bakora kama watoto wa shule!
 
Carmel,

Wala usiwe na shaka. Kama unajua unachohitaji katika mahusiano huwezi kupata shida. Halafu wanaume wanapima upepo kabla ya kuleta hoja. Kwa hiyo kwa mtu kama wewe naamini hataweza kukueleza upuuzi kama huo. Shida yangu ni wanawake ambao wapo wapo hata wakiambiwa kwenda kwao likizo wanaenda tu bila kujua kuwa labda mume anatafuta nafasi akapumue na nyumba ndogo. Yaani hawawezi kuhoji lolote. Nawaonea huruma sana dada zangu wa aina hiyo.

hao ndio wanaodumu kwenye ndoa!!! 'mrs hewala bwana'
 
mbaya zaidi unawezakuta jamaa anakukataza sababu tu ya wivu and not otherwise

sidhani kam ahuwa kuna sababu ya msingi kwa kweli ndio maana mwanamke mwenye akili zake timamu hata kubali kamwe!!!
 
Na ndio maana wanaume wengine wanapenda kuoa darasa la saba ili wawaendeshe wanavyotaka kama gari bovu.Wanasingizia eti WASOMI wna kiburi kumbe wanatafuta mteremko wa ndio ndio bila reasoning yoyote.
thats very true, thats the only reason they want std 7, maana kila kitu ni yes sir.
 
Lakini dada wapo wasomi pia ambao wamezuiwa kufanya kazi na wengine wanacharazwa bakora kama watoto wa shule!
Hilo ni kweli lakni ni wachache sana na ninaweza kusema wana INFERIORITY COMPLEX ambayo Shule imefeli kuiondoa.Ni sawa na kusema kuna wanaume huwa wanapokea kipigo toka kwa wake zao na wakiwa nyumbani ni ma-BUSHOKE.
 
Wadau Mimi nimfanyakazi Mke wangu nimfanyakazi wote tunapata Mshahara sawa!!Lakini pesa zangu ndizo zinafanya kila kitu ndani!!Yeye ukimwuliza anasema wewe sindo baba mwenye nyumba!!Yeye zake nikununua mahitaji yake binafsi!!Sasa na Mpango wakumwachisha kazi je nitakuwa nimemkosea??kwani sioni sababu ya yeye kufanya kazi!!

ulijichanganya sana kipindi cha uchumba ulipojifanya wewe kidume unaweza kugharimia kila kitu,haya ndo madhara yake sasa, muelimishe umuhimu wa cost sharing katika familia na imani ataelewa tu kwani ni kwa faida yenu wote wawili
 
hahaaa na mbona mpaka leo hamjatengana??? alikuwa anapima kina cha maji huyo!!!

mi ntamwambia yeye aache mi niendeleee kufanya kazi!!!
'
nilikuwa naona sasa ninaokoelekea sio nyamayao tena, nilijiona naendekeza ujinga tu, kila cku mtu kaja kanuna, kisa kile kile, nikamuweka kiporo cku ya cku karudia tena hakuamni na jibu la kujiamni kabisa coz nilikuwa tayari kwa kila kitu, matokeo yake naambiwa nina homa, cjui kitu gani, homa ya kufoji ni hakutegemea jibu hilo....
 
Naona wabeijing hapa mmepatia sehemu ya kusemea yaani mmeacha tatizo la msingi la bwana KakaKiiza mmegotea kwenye kuachishwa kazi. Kimsingi kumuachisha mwenzio kitu chochote achilia mbali kazi bila ridhaa yake si jambo la busara lakini hebu basi tumshauri huyu bwana especially ninyi ambao mnashikia bango na wazo lake la kumuachisha mkewe kazi na si wengine bali ni Nyamayao, bht na carmel. I wonder WoS na MJ1 sijawasoma kabisa hapa leo maana najua wakiingia hapa........mtamalizia wenyewe.
 
'
nilikuwa naona sasa ninaokoelekea sio nyamayao tena, nilijiona naendekeza ujinga tu, kila cku mtu kaja kanuna, kisa kile kile, nikamuweka kiporo cku ya cku karudia tena hakuamni na jibu la kujiamni kabisa coz nilikuwa tayari kwa kila kitu, matokeo yake naambiwa nina homa, cjui kitu gani, homa ya kufoji ni hakutegemea jibu hilo....

hahaaaaa lol!!!!
alipata lake
 
zina masharti mpaka basi, wakati mtu alikukuta na kazi yako tena anataka kukuachisha sijui ukae tu nyumbani kumpikia na kumfulia , watu wana dhalau sana aisee, mie nilimwambie aendelee kutafuta majumbani huko kuna wanawake kibao wasio na kazi aoe

halafu hizo ndio ndoa zenye purukushani kila kukicha, bora uligoma mdogo wangu, usawa huu ni wa kuomba mpaka hela ya pad kweli?
 
Naona wabeijing hapa mmepatia sehemu ya kusemea yaani mmeacha tatizo la msingi la bwana KakaKiiza mmegotea kwenye kuachishwa kazi. Kimsingi kumuachisha mwenzio kitu chochote achilia mbali kazi bila ridhaa yake si jambo la busara lakini hebu basi tumshauri huyu bwana especially ninyi ambao mnashikia bango na wazo lake la kumuachisha mkewe kazi na si wengine bali ni Nyamayao, bht na carmel. I wonder WoS na MJ1 sijawasoma kabisa hapa leo maana najua wakiingia hapa........mtamalizia wenyewe.

hahaaaa hv tatizo la msing ni lipi tena?

ooh mke hamsaidii mume kwenye matumizi ya hm eeeh???

si waongeee tu kila kitu kiwe wazi...........mwambie ukweli
 
Naona wabeijing hapa mmepatia sehemu ya kusemea yaani mmeacha tatizo la msingi la bwana KakaKiiza mmegotea kwenye kuachishwa kazi. Kimsingi kumuachisha mwenzio kitu chochote achilia mbali kazi bila ridhaa yake si jambo la busara lakini hebu basi tumshauri huyu bwana especially ninyi ambao mnashikia bango na wazo lake la kumuachisha mkewe kazi na si wengine bali ni Nyamayao, bht na carmel. I wonder WoS na MJ1 sijawasoma kabisa hapa leo maana najua wakiingia hapa........mtamalizia wenyewe.

mbona ameshashauriwa vizuri tu, msomee Carmel kashauri vizuri kabisa,na wengineo pia.... sasa thread inashika kipic cha thread na kukichanganua....upo?
 
Hilo ni kweli lakni ni wachache sana na ninaweza kusema wana INFERIORITY COMPLEX ambayo Shule imefeli kuiondoa.Ni sawa na kusema kuna wanaume huwa wanapokea kipigo toka kwa wake zao na wakiwa nyumbani ni ma-BUSHOKE.
ha ha ha hii naona kama ni thread nyingine inayo jitegemea lol!
 
Back
Top Bottom