hahaaaa hv tatizo la msing ni lipi tena?
ooh mke hamsaidii mume kwenye matumizi ya hm eeeh???
si waongeee tu kila kitu kiwe wazi...........mwambie ukweli
bianfsi naitafuta ndoa lakini sio ya kihivia aisee. kumlamba mtu miguu maana duh............no wonder!!!
Wadau Mimi nimfanyakazi Mke wangu nimfanyakazi wote tunapata Mshahara sawa!!Lakini pesa zangu ndizo zinafanya kila kitu ndani!!Yeye ukimwuliza anasema wewe sindo baba mwenye nyumba!!Yeye zake nikununua mahitaji yake binafsi!!Sasa na Mpango wakumwachisha kazi je nitakuwa nimemkosea??kwani sioni sababu ya yeye kufanya kazi!!
aiways my dearest..............lakini masharti ya kipuuzi stakimtangulize Mungu! yupo wako mahali na yeye anakutafuta dearest.
Wadau Mimi nimfanyakazi Mke wangu nimfanyakazi wote tunapata Mshahara sawa!!Lakini pesa zangu ndizo zinafanya kila kitu ndani!!Yeye ukimwuliza anasema wewe sindo baba mwenye nyumba!!Yeye zake nikununua mahitaji yake binafsi!!Sasa na Mpango wakumwachisha kazi je nitakuwa nimemkosea??kwani sioni sababu ya yeye kufanya kazi!!
Wadau Mimi nimfanyakazi Mke wangu nimfanyakazi wote tunapata Mshahara sawa!!Lakini pesa zangu ndizo zinafanya kila kitu ndani!!Yeye ukimwuliza anasema wewe sindo baba mwenye nyumba!!Yeye zake nikununua mahitaji yake binafsi!!Sasa na Mpango wakumwachisha kazi je nitakuwa nimemkosea??kwani sioni sababu ya yeye kufanya kazi!!
mie naona anae taka kukuachisha kazi anataka kukukomesha wala hakuna sababu ingine... utakomaje? :mmph:aiways my dearest..............lakini masharti ya kipuuzi staki
mie naona anae taka kukuachisha kazi anataka kukukomesha wala hakuna sababu ingine... utakomaje? :mmph:
Mhhh hizi ndoa ni ngumu lakini watu bado wanataka kuingia....kwanini ehh? how can i put this? Sometimes life is too hard to be alone and sometimes life is too good to be alone?....halafu from personal experience i have learned that marriages is an estate that is very much easy to enter than it is to exit.... mhhh mtu kabla hajaingia kwenye wed lock ajifikirie vizuri.....
mie naona anae taka kukuachisha kazi anataka kukukomesha wala hakuna sababu ingine... utakomaje? :mmph:
Bro...that goes to show that i might be hanging out with wrong ppl.... ninao wajua wanaacha kazi kwa kutaka wenyewe... ile sentence ya KakaKiiza ilinifanya kufikiri kama ana power yakwenda kazini kwa mkewe na ku-resign on her behalf... :jaw:Sis mnaishi wapi jamani???? haya mbona mambo ya kawaida kabisa kwenye jamii zetu??????????????
Bro...that goes to show that i might be hanging out with wrong ppl.... ninao wajua wanaacha kazi kwa kutaka wenyewe... ile sentence ya KakaKiiza ilinifanya kufikiri kama ana power yakwenda kazini kwa mkewe na ku-resign on her behalf... :jaw:
@Noname ku resign on her b1/2 hahaaaaa lol!!! safi sana!!!
atawahi, abaki kuugulia tu basi
Ni kosa kubwa kumwachisha kazi mkeo kwa sababu: 1. sheria ya ndoa inakutaka wewe kuangalia familia - isome tafadhari; 2. ukimwachisha kazi hayo mahitaji yake binafsi utayagharamia wewe upende usipende kwani keshazoea huyo, ukigoma tu wanaume wenzako watagharimia; 3. ukifa au ukifukuzwa kazi yeye lazima atasaidia tu; 4. kunawatanzania wengi wanahudumiwa naye hivyo ni kuwanyima haki; 5.
kusoma kwake ni investment ambayo sasa inazalisha - faida kitaifa na kibinafsi. Je, watoto wakimuomba kitu anawanyima au anawaambia mwambieni baba? Hivi yale masufuria, masahani, vijiko jikoni unanunua wewe tu? Sasa angalia humo ndani kwenu je vyote umenunua wewe? Nyumbani kwao unapeleka misaada kama wanahitaji au yeye tu? Je, wewe upeleki pesa kwingine bila yeye kujua? Je, wewe sio mtu wa mitungi? Raha ya mwanaume wa shoka ni kuhudumia familia kwa kila kitu! Labda kwenye kitchen party aliambiwa kazi yake ni moja tu kulea na kukupa wewe penzi moto moto!!!
exactly ma dear, cjui kwanini kuchomoka humu ndani ni ishu kweli, wengine wanafikiria watoto, wengine tumechuma wote mtu aje kirahic kula jasho langu, wengine hivi na vile, tunajishangaa bado tupo tupo tu, hata mie kuna wakati ilikuwa ngumu sana kwangu mwanzoni nilianza kukata tamaa badae nikasema nakomaa nayo, haaa jamani...ndio mpaka kikaeleweka.