Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Kwa nini nijipe majukumu makubwa ivyo na wakati by the time bado nilikuwa tegemeziKiislam.hayo ni majukumu ya mwanaume.kujua mkewe atakula nini..nani atafanya usafi.ila tu wanawake majukumu yao ni kuzaa na kulea familia tu.wewe ndo mwenye jukumu la kumpikia.
Mkudaaaa........hivi sasa ni saa mbili kamili,
..kwa saa za Afrika Mashariki!
...mkuda mtoto huyo anawashobokea nyie wakishua,Mkudaaaa.....
Mambo yenu hayoo.....
Eti huwezi kwenda shule kisa huna viatu vipya..
Hapo ndo napowapendea hawana shanapa..kuna jamaa yangu ananielekeza mambo adi naona ka movie ye hajui kuhesabu no..ni watu ambao ukihitaji kuchange wanaweza kutumikaMianaume inayojiita ya kishua mipumbavu haswa,, wao starehe mwanzo mwisho hawawazi kitu kazi yao ni moja tuu kuzunguka tuu na kufanya starehe Wanakaa kama hawana future kabisaaa
Other side of the coin Kama wewe ni mpambanaji sio mbandika kucha 24/7 wana madeal mno na sio wachoyo (rohokutu) wako + mno nakama anaweza kukusaidia au kukuconnect ni chap
Huyu akija kwetu atapigwa vumbiii kali......mkuda mtoto huyo anawashobokea nyie wakishua,
..acha ukuda,mualike home afanye utalii wa ndani nae asafishe macho bhana!