Vituko vya watu mkoani mbeya

Kumbe dar hatujui kuandika kiasi hiki. Me nahama[emoji2]
 
Mleta uzi huna adabu hata kidogo.
Kujisifia vitu vya kijinga tuuu kyeee.
Wanayoyafanya watu wa mbeya ww binafsi katu huwezi na hata nguvu huna ya kufanya hayo.
Watu wa mbeya wana msimamo hawayumbishwi,si waoga wanajiamini lkn ww wa dar panya road tuu ulilala kwa shemeji yako alie oa dada yako.
Endeleeni kuweka vitambaa mfukoni na kubeba empty begs muje mbeya.
 
Bado kidogo najiondoa JF naona kama inakosa mwelekeo
 
We ni mzaramo? Eti kwetu.....mbwa koko kabisa ww mla pweza
 
Green city[emoji3][emoji3]watoto wanashiba mpaka chupi inahamia tako moja[emoji3][emoji3][emoji3]mkuu wasalimie kina Tuntufye,Tunsume,Ndiko na Sekela
 
Wasengerema wa dizaini hii hawataisha.pambana na hali yako aunt.
 
Ilomba
 
Dah... Cha ajabu Mbeya MTU anaweza kukaa dakika45 kwenye daladala kwa safari ya dakika 15 kwa miguu[emoji87]
 
Mimi pia mbeya sijawahi paelewa aysee.Ni shida kabisa,balaa kuanzia tabia za watu wake!!!Hakuna cha green city,nendeni bukoba/kagera huko ile kijani ni Amsha
Acha ufala, mbeya mnapapenda sana sema mmezaliwa uko kusiko barikiwa, mnakula kwa shida mbuzi nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…