Huo ujinga wako usituletee sawa!!Tunahitaji katiba bora. Yaani urafiki wa mtu mmoja unasababisha hasara ya taifa.
Shida ni Raila ashinde au?
Think twice , Uhuru na Chadema anasababisha wakenya wakoswe chakula kwa sababu ya Raila na Padlock?.
Tunaoumia ni wakulima wa Tz na walalahoi wa Kenya.
Mungu anawaona
Kwa sababu twanunua toka kwenu ndio mwaona sasa mnatulisha, tumia akili vizuriTunawalisha
hujaona kama wanahangaika na pesa wanayo?
Wacha matusi kwanini unamfananisha na kuku mwenzie!Akili za kuku hizi.
Tuuze unga siyo mahindi.kuongeza thamani pia kutoa ajira hapa nchini. Lakini pia lazima serikali isimamie kiasi cha kuuza nje mahindi si kahawa au chai. Itakuja njaa hapa na hao hao wananchi wataitaka serikali iwasaidie chakula.Uwezo wa serikali yetu kununua mahindi toka kwa wakulima ni mdogo ukilinganisha na kiasi kinacholimwa.
Wakulima wetu hawana uwezo wakuhifadhi mahindi yote wanayovuna kutokana na uwezo wao mdogo na njia zakuhifadhi mahindi yasiharibike.
Wakiuza kwa bei nzuri angalau (kwamajirani) japo nao waboreshe maisha yao serikali inaleta nongwa.
Sasa hawa wakulima wafanyeje? Ukizingatia soko la ndani limedorora na wanauza kwahasara!
Huku wakulima hao hao wana mikopo kwenye mabenki, vikoba, Sacco's bila kusahau pembejeo wanataka chao.
Hapo mi ndio nashindwa kuelewa hii nchi yetu ni yaaina gani. Kila kitu siasa
Sikua na nia yakuleta masihara kwani njaa ni mbaya na haikubaliki. Lamsingi ni mazingira yaandaliwe kuchukua mahindi toka kwa wakulima yasiharibike mikononi mwao kwani hawana uwezo wakuyahifadhi zaidi ya kuwazuia wasiuze nje ilihali hakuna mipango yakuyachukuaKuna vitu vyakuleta masiala sio Hili sawa!!
Hivi unaijua njaa?
Kipi bora, yazuiliwe yaharibike mikononi mwa wakulima au yaunzwe wakulima walipe madeni na kuboresha maisha yao km wafanyakazi wengine! Lamsingi ni yaandaliwe mazingira ya kuyachukua yasiharibike mikononi mwa wakulima wetuSiungi mkono mawazo yako
Hali ikiwa mbaya nyie ndie wakwanza kupiga kelele tena.
Wazuie tu naana Hali sio nzuri ya chakula
Kwani mkuu soko la mahindi la ndani hali jitosherezi? kwa mimi sioni haja ya kwenda kuuza nje ya nchi wakati sisi tunakufa na njaa..Tunahitaji katiba bora. Yaani urafiki wa mtu mmoja unasababisha hasara ya taifa.
Shida ni Raila ashinde au?
Think twice , Uhuru na Chadema anasababisha wakenya wakoswe chakula kwa sababu ya Raila na Padlock?.
Tunaoumia ni wakulima wa Tz na walalahoi wa Kenya.
Mungu anawaona
Kwa kweli hii ni TZ ya vi wonderWakenya mnatakiwa mjue tunaposema Tanzania ya viwanda tunamaanisha Tanzania ya viwanda, mahindi hayatoki viwandani bali shambani.
Tutauza unga tu
Tutawasomesha number to the maximumKwa kweli hii ni TZ ya vi wonder
Msimu huu hakuna mahindi yakuharibikaSikua na nia yakuleta masihara kwani njaa ni mbaya na haikubaliki. Lamsingi ni mazingira yaandaliwe kuchukua mahindi toka kwa wakulima yasiharibike mikononi mwao kwani hawana uwezo wakuyahifadhi zaidi ya kuwazuia wasiuze nje ilihali hakuna mipango yakuyachukua
Sioni Mahindi yakuharibika Msimu huuKipi bora, yazuiliwe yaharibike mikononi mwa wakulima au yaunzwe wakulima walipe madeni na kuboresha maisha yao km wafanyakazi wengine! Lamsingi ni yaandaliwe mazingira ya kuyachukua yasiharibike mikononi mwa wakulima wetu
Rubbish, hiyo mahindi imelipiwa. It's either wapewe mahindi yao ama warudishiwe hela zao, hakuna cha kubembeleza.Waliosema adui muombee njaa hakukosea.
Jeuri ya Wakenya imekwisha. Wanakuja kubembeleza mahindi bongo.
Serikali ya Jpm haitambui hilo.Rubbish, hiyo mahindi imelipiwa. It's either wapewe mahindi yao ama warudishiwe hela zao, hakuna cha kubembeleza.