Vitumbua vya nyama ya kusaga

Vitumbua vya nyama ya kusaga

mkwe vitumbua vitam sana,mi huwa nikila mpaka nasinzia,na viwe na chai maziwa

Si umeona hapo nami nala kwa chai ya maziwa? Kapika binti ivoo lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
farkhina asante sana nitajaribu lkn mwenzio nakata tamaaa kwani chuma changu nlinunua kariakoo basi kinagandisha hicho balaa au pengine sijui namna ya kupika vitumbua huenda kuna pahala nakosea. Ila asante kwa mapishi mapya sasa hiyo samli kopo lake likoje manake kweli ziko za aina nyingi hebu niwekee picha ya kopo lake ili nikinunua nisikosee

Mwenzako mie nimeletewa kwa box kubwa sana zinafika kg 10 hilo box ata sitizame jina ila ukikosa samli tumia olive oil mpnz

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
farkhina asante sana nitajaribu lkn mwenzio nakata tamaaa kwani chuma changu nlinunua kariakoo basi kinagandisha hicho balaa au pengine sijui namna ya kupika vitumbua huenda kuna pahala nakosea. Ila asante kwa mapishi mapya sasa hiyo samli kopo lake likoje manake kweli ziko za aina nyingi hebu niwekee picha ya kopo lake ili nikinunua nisikosee

Nashkuru nimebahatika pan yangu non stick ila kizito balaa alafu kuna electric version ivoo ulizia madukani pia vizur

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Huu ugali wa kisukuma ni ule mgumu ile mbaya
yani ukila mchana hadi usiku unakuwa umeshiba....

Hhahahahaha huo lazima wanenepesha lol btw lini utanialika nije kula ugali wa kisukuma?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Nashkuru nimebahatika pan yangu non stick ila kizito balaa alafu kuna electric version ivoo ulizia madukani pia vizur

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ngoja nitafuatilia ntaanza na home dipo
 
Mahitaji

Nyama ya kusaga robo...ichemshe na kuweka spices upendazo

Mayai 5-6 inategemea na ukubwa..

Pilipili hoho kipande

Karot 1 ndogo ipare iwe ndogo ndogo

Chumvi kiasi

Kitunguu saumu 1/2 teaspoon

Tangawizi 1/2 teaspoon

Baking powder 1 teaspoon...

Kitunguu maji kipande.

Pilipili ya kuwasha kiasi upendacho

Namna ya kutaarisha


Weka katika blenda pilipili hoho,kitunguu maji,mayai,saga ila isiwe laini sana

Toa weka kwenye bakuli then add chumvi,baking powder na karot...

Weka pan yako ya kuchomea vitumbua na choma kama vitumbua vya mchele

Tayari kwa kuliwa...

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
sante sana, nmefurahi maana hii kitu naipenda. I will try
 
Hhahahahaha huo lazima wanenepesha lol btw lini utanialika nije kula ugali wa kisukuma?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Asee karibia muda wowote, ila ndo ujiandae kama ndo first time kula lazma taya ziume....
 
Eh nimesahau kukwita mpishi wa keki wa ukweli measkron pitia hapa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Asante sana farkhina ni nzuri sana,ila pan yangu imenisumbua loh! ikabidi nifanye ubunifu mkali,ila ol in ol ni nzuri sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom