mumak
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 1,069
- 668
Kwanini tena? Au hujapenda?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
hapana yaani natamani nikutafute nije kula,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini tena? Au hujapenda?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
hapana yaani natamani nikutafute nije kula,
Heee si upike jamani recipe zipo tele hapa
Thanks habibty, lkn hio samli umeonesha kwenye kibakuli raha ungeonesha kopo lake tukapata kujua brand name yake. Pls
uuuwiiii makhaba niteketeze kama moto wa gesi! bee micng u Angy
Haloooo, mahaba niteke kama boko haraam. Mis u my hubby. Mmmwwwah
Nimejaribu leo, imesumbua kidogo hasa ktk ugezaji. Ila ni tamu balaa, mwanangu ameipenda mpaka basi.
Nimejaribu leo, imesumbua kidogo hasa ktk ugezaji. Ila ni tamu balaa, mwanangu ameipenda mpaka basi.
Na umejua kama kugeuza unatumia kijiti au chuma km spoki ya baskeli?
Mana mi siku ya mwanzo nafanya vitumbua eti mechukua mshebeki wa chapati ndo nataka kugeuzia. Mamaangu alicheka mpk. Lol
Hahhaahhahaha subhanallah nimecheka mpaka mbavu zinauma heeee mie nageuzia kwa kijiti cha mishkaki tu sinaga makubwa
Eeh da Faa, mwanzo mgumu.
Ndo kujifunza. Kama Wewe ulivochezea kofi kwa kusahau kuweka hamira kwenye maandazi. Lol
hivi vitumbua havina mchele?