Vituo 5 vya joto na baridi kujengwa jijini Dodoma

Wenzetu kutokana na kuwa na joto kali huweka mabomba kama ya mvua ambayo ukijisikia joto huenda kuoga na pia kunakuwa na swimming pool za umma, ingawa mimi sipendi kuogelea kwenye simu pool hasa za huku kwetu kutokana na kuwa chafu na husau kuweka dawa,pia watumiaji huwa sio wastaraabu hujisaidia haja ndogo humo humo kwenye swimming pool.
 
MAPENZI ULAYA,AFRIKA BIASHARA.... WAZA VIWANDA IPO SIKU UTAKUTANA NAO UTAONA NDIO MRADI WANAOUTAKA
 
Ndio vipaumbele hivyo haya mambo ni ngumu sana kuyasikia enzi za kidume toka Chato!

Ila ndio wananchi wanayopenda kuyaskia haya.,subirien kusikia hela watu wamegawana kwenye ma v8 kila mtu kakimbia na bil.10
Msimpambe Mtu mpaka mkapitiliza utadhani Sisi hatukuwepo. Nani asiyekumbuka CRDB Chato iliyogeuka club baada ya msiba? Nani amesahau taa za kuongozea magari zinazotumiwa na waendesha mikokoteni?
 
Msimpambe Mtu mpaka mkapitiliza utadhani Sisi hatukuwepo. Nani asiyekumbuka CRDB Chato iliyogeuka club baada ya msiba? Nani amesahau taa za kuongozea magari zinazotumiwa na waendesha mikokoteni?
"Every to hours America Today child dies of gunshot wound!? "Is scared they what family planning to work or behavior"


Tuendelee kuchezea Label ya "tanzania mpya" na "tanzania ni nchi ya amani"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…