Vituo 5 vya joto na baridi kujengwa jijini Dodoma

Vituo 5 vya joto na baridi kujengwa jijini Dodoma

Kama ni kweli tujiandae utapeli mbeleni zitaletwa zile mvua za kutengenezwa za Thailand alizotaka kuleta Lowasa tunaandiliwa kisaikolojia

Ni afadhali hiyo pesa wangepanda miti mingi kila Kona au heri wangechukua hata wazo la mzee Rungwe aliyesema chama chake kikishinda uchaguzi atachimba mtaro mkubwa toka baharini dar na kuupeleka Dodoma ili Dodoma iwe na beach na upepo mwanana wa bahari na watu waweze kusafiri kwa boat kiutalii toka Dar Hadi Dodoma

Anyway huo mradi Kama ni kweli ni too luxurious Kama ni private sector itaendesha kwa kuchaji pesa ni sawa lakini Kama ni serikali sio sahihi Kuna mengi ya kufanya ikiwemo kupandisha mishahara ya wafanyakazi
 
Kama ni kweli tujiandae utapeli mbeleni zitaletwa zile mvua za kutengenezwa za Thailand alizotaka kuleta Lowasa tunaandiliwa kisaikolojia

Ni afadhali hiyo pesa wangepanda miti mingi kila Kona au heri wangechukua hata wazo la mzee Rungwe aliyesema chama chake kikishinda uchaguzi atachimba mtaro mkubwa toka baharini dar na kuupeleka Dodoma ili Dodoma iwe na beach na upepo mwanana wa bahari na watu waweze kusafiri kwa boat kiutalii toka Dar Hadi Dodoma

Anyway huo mradi Kama ni kweli ni too luxurious Kama ni private sector itaendesha kwa kuchaji pesa ni sawa lakini Kama ni serikali sio sahihi Kuna mengi ya kufanya
Hapo hata mie UKAME UENDELEE haiwezekani VITU VYA LOWASA VISEME UONGO HUO UCHAWI NDIO UNAOTAKIWA!?
 
Kutokana na hali ya hewa ya Dodoma kuwa ya Kitropical Serikali imeamua kusaini dola za Marekani Milion 10 kwa ajili ya kuazisha vituo 5 maalumu vya Joto na Baridi. Vituo hovyo vitatumika wakati hali ya hewa ya kupita kiasi itakapotokea Jiji Dodoma ambapo vitafunguliwa vituo vyake vya Joto na Baridi kwa wakaazi kupumzika kutoka kwa hali ya hewa. Vituo vya Joto na Baridi huko Dodoma vinapatikana katika maeneo yafuatayo:

Nkuhungu

22 S. Nkuhungu St.

Masaa: 8 asubuhi hadi 5 jioni Jumatatu hadi Ijumaa



Udom

1800 Udom St.

Masaa: 7 asubuhi hadi 4 jioni Jumatatu hadi Ijumaa



Mtumba

Mji wa Serikali 200 Mashariki

Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)



Idara ya Polisi Zimamoto

20 NHIF PLAZA

Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)



Chamwino

227 Chamwino St.

Masaa:

9 asubuhi hadi 9 jioni Jumatatu hadi Alhamisi

9 asubuhi hadi 6 jioni Ijumaa

9 asubuhi hadi 5 jioni Jumamosi

Adhuhuri hadi saa 5 asubuhi. Jumapili
Sijakuelewa vizuri...
 
Pelekeni joto Makete, Mafinga na Makambako...yaani June ngoma inasomaga -3°C.
 
Kwa maana hio AC za umma zitafungwa ili kupepelea mafisadi watakaokuwa Dodoma?
Waache upotevu huu wa fedha za umma. Hizo bilioni 20 na ushee zitumike kujenga barabara na madaraja vijijini! CCM iache ulevi!!!
 
Waache upotevu huu wa fedha za umma. Hizo bilioni 20 na ushee zitumike kujenga barabara na madaraja vijijini! CCM iache ulevi!!!
Bora kulewa kweli wanaofanya hizo kazi hawana kazi nyingine....!
 
Back
Top Bottom