Vituo gani vya Afya vilivyopewa pesa ya Tozo?

Vituo gani vya Afya vilivyopewa pesa ya Tozo?

Hahahahaha kumbe wamechukua mkopo WB.....dah

Wasanii ,hivi Lameck Madelu aka Mwigulu anajua bil 48 kweli?? Ukijumlisha mapato ya mwezi ya makampuni yote kwa mwezi hayazidi bilioni 80 ila Lameck anakuja kutudanyanya kwamba wameingiza bil 48 halafu bilioni 24 washazipeleka kwenye halamashauri hahahaaaaa!!
 
Hahahahaha nimeuliza kwa wema tu
Chungulia hapo kama kuna wilaya yako.
View attachment 1902069

IMG-20210821-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom