Vituo gani vya Afya vilivyopewa pesa ya Tozo?

Hahahahaha kumbe wamechukua mkopo WB.....dah

Wasanii ,hivi Lameck Madelu aka Mwigulu anajua bil 48 kweli?? Ukijumlisha mapato ya mwezi ya makampuni yote kwa mwezi hayazidi bilioni 80 ila Lameck anakuja kutudanyanya kwamba wameingiza bil 48 halafu bilioni 24 washazipeleka kwenye halamashauri hahahaaaaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…