Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #21
Hapo nimekupata boss. Ila hiyo sio tatizo sana. Inaweza kutatuliwa. Changamoto ni kuipeleka hiyo CNG mikoani ndio inahitaji haya magari maalumu..Nimeshakuelewa, ndo maana nimesema bado utahitaji vituo zaidi vya kujaza zaidi kile kimoja cha ubungo ambacho kitakuwa kinayajaza hayo malori yanayotembea, mchina mwenyewe huwa anaenda kujaza pale ubungo ndo anakuja kujaza Tazara.