Vituo vya mafuta katikati ya mji na makazi ya watu Dar: Bomu linalosubiri maafa makubwa

Vituo vya mafuta katikati ya mji na makazi ya watu Dar: Bomu linalosubiri maafa makubwa

Nilichoka pale Tandika roundabout ya majaribio, wamevunja maduka ya sim wamejenga petrol station. Daaaah kituo kimebanwa hatari
 
Yes,kuna mafuta ya wizi sana! Tena kwenye Transit ndiyo wanaiba mno! Lake Oil ndiyo tabia zake! Anaagiza meli nzima,anasema haya ni transit,kumbe ni locally,anapiga pesa! Maisha yanaendelea!

Kwenye kuiba mafuta kwenye pump,hii pia ipo sana,unaweka mafuta ya laki moja,yanaingia kwenye tank ya 80,000

Bandarini kuna watu wana pipe kabisa,wananyonya mafuta hadi kwenye depot zao huko Kigamboni! Kipindi cha nyuma,kuna watu walikamatwa,pipe imepita sebuleni juu ya tiles ya nyumba ya mtu,jiulize kwa nini hawakufungwa?? Maana yake kuna watu vibopa nyuma yao!

Pia kuna wale ambao wana matank mabubwa yakutunza mafuta kama kina World Oil,wale pia wanapiga mno pesa kaka! Ukitaka kuwin game jilipue kwa akili lakini!
 
Imagine itakuwaje kikatokea kikundi cha magaidi (Eeh Mungu tuepushe) kikakamata vituo vinne tu katikati ya jiji na kuvilipua... !? Ninini kitatokea?
Mtaalam Mshana Jr .hapo umenena vyema.tujitafakari Kama taifa.je tupo salama?
 
Imagine itakuwaje kikatokea kikundi cha magaidi (Eeh Mungu tuepushe) kikakamata vituo vinne tu katikati ya jiji na kuvilipua... !? Ninini kitatokea?
Mtaalam Mshana Jr .hapo umenena vyema.tujitafakari Kama taifa.je tupo salama?
Maghorofa yenyewe haya ya kichina[emoji848][emoji2827]
 
Ila hii nchi Bwana kila mtu analialia...

Kwanini raia wasiende mahakamani kushtaki hivyo vituo kwa kukiuka sheria za mazingira, kwanini kila kitu tunataka serikali ifanye wakati tunaona hayo Mambo yanakuja kutuathiri sisi moja kwa moja !
 
Nchi ngumu sana hii kaka!

Ally Awadh,nakumbuka miaka ya 2005 alikua mtu wa kawaida sana! Tumekaa nae sana pale kidogo chekundu kwa wakili wake *******, kipindi hicho ******* yupo chini ya kampuni ya ******* and Advocate! Nikaja shangaa Ally leo hii ni bilionea! Wakili wake ****** akatafutiwa kazi TRA,tena yupo kitengo cha Large Tax Payee! Tena tulikua tunamwita Aliiiiii!
[emoji2][emoji2][emoji2]The end justifies the means kaka..!
 
Je eneo limepata kibali cha kubadili matumizi?
Mtaalamu.. Kuna kupata KIBALI ya kwamba serikali imeridhia.. ila pia kunakupata KIBALI kwasababu sio tu serikali imeridhia bali pia usalama wa watu umezingatiwa beyond doubts ..

Kwa sasa kwingi ni procedure tu zinafuatwa Ila sio professional accountability... Kesho kituo kikiwaka moto na watu wa pembeni wakaungua au hata kufa kama hivyo vituo vina bima mnaweza msilipwe hata fidia yenyewe...

Kwa maana kwenye kufuata utaratibu wa kubadili matumizi na vibali Ushahidi unaonesha majirani mliridhia mchakato...

Lakini si kweli kwamba huwa mnashirikishwa katika upembuzi wa kina namna hiyo, kwa kiwango kinachotakikana! Na nani Hata kama ushiriki unakuwepo ni nani anawaongoza mwenye ujuzi wa kuwachambulia potential risks na kuwasaidia kuchagua kwa usahihi!??

Kwa kawaida mtaalamu wa Halmashauri ana pledge allegiance kwa serikali na Halmashauri yake ambao ndio waajiri wake na ndio wanaompa Hadidu za rejea..nani anamtetea mwananchi!? Hilo ni swali la kimfumo zaidi.
 
Huo ndio utaratibu ila haufwati.
Juzi nilipita mitaa ya temeke kule karibia na stend ya kuelekea mikoa ya kusini. Jirani na pale kuna jamaa kanunua nyumba 2 kazibomoa anajenga petrol station eneo hilo japo ni barabarani amezungukwa na makazi ya watu pia petrol station nyingine ipo karibu na hiyo anayojenga.
Bongo hapa sheria nyingi zipo Kwenye makaratasi ila hazitekelezwi
Rushwa ikitembea hamna sheria inayosimama
 
Mtaalamu.. Kuna kupata KIBALI ya kwamba serikali imeridhia.. ila pia kunakupata KIBALI kwasababu sio tu serikali imeridhia bali pia usalama wa watu umezingatiwa beyond doubts ..

Kwa sasa kwingi ni procedure tu zinafuatwa Ila sio professional accountability... Kesho kituo kikiwaka moto na watu wa pembeni wakaungua au hata kufa kama hivyo vituo vina bima mnaweza msilipwe hata fidia yenyewe...

Kwa maana kwenye kufuata utaratibu wa kubadili matumizi na vibali Ushahidi unaonesha majirani mliridhia mchakato...

Lakini si kweli kwamba huwa mnashirikishwa katika upembuzi wa kina namna hiyo, kwa kiwango kinachotakikana! Na nani Hata kama ushiriki unakuwepo ni nani anawaongoza mwenye ujuzi wa kuwachambulia potential risks na kuwasaidia kuchagua kwa usahihi!??

Kwa kawaida mtaalamu wa Halmashauri ana pledge allegiance kwa serikali na Halmashauri yake ambao ndio waajiri wake na ndio wanaompa Hadidu za rejea..nani anamtetea mwananchi!? Hilo ni swali la kimfumo zaidi.
Lakini si kweli kwamba huwa mnashirikishwa katika upembuzi wa kina namna hiyo, kwa kiwango kinachotakikana! Na nani Hata kama ushiriki unakuwepo ni nani anawaongoza mwenye ujuzi wa kuwachambulia potential risks na kuwasaidia kuchagua kwa usahihi!?? [emoji3064][emoji848][emoji2827]
 
Mtaalamu.. Kuna kupata KIBALI ya kwamba serikali imeridhia.. ila pia kunakupata KIBALI kwasababu sio tu serikali imeridhia bali pia usalama wa watu umezingatiwa beyond doubts ..

Kwa sasa kwingi ni procedure tu zinafuatwa Ila sio professional accountability... Kesho kituo kikiwaka moto na watu wa pembeni wakaungua au hata kufa kama hivyo vituo vina bima mnaweza msilipwe hata fidia yenyewe...

Kwa maana kwenye kufuata utaratibu wa kubadili matumizi na vibali Ushahidi unaonesha majirani mliridhia mchakato...

Lakini si kweli kwamba huwa mnashirikishwa katika upembuzi wa kina namna hiyo, kwa kiwango kinachotakikana! Na nani Hata kama ushiriki unakuwepo ni nani anawaongoza mwenye ujuzi wa kuwachambulia potential risks na kuwasaidia kuchagua kwa usahihi!??

Kwa kawaida mtaalamu wa Halmashauri ana pledge allegiance kwa serikali na Halmashauri yake ambao ndio waajiri wake na ndio wanaompa Hadidu za rejea..nani anamtetea mwananchi!? Hilo ni swali la kimfumo zaidi.
Kwa kawaida mtaalamu wa Halmashauri ana pledge allegiance kwa serikali na Halmashauri yake ambao ndio waajiri wake na ndio wanaompa Hadidu za rejea..nani anamtetea mwananchi!? Hilo ni swali la kimfumo zaidi.[emoji2827]
 
Serikali imesitisha utoaji wa vibali vipya vya ujenzi wa vituo vya mafuta na mabadiliko ya matumizi ya ardhi kwa ajili ya vituo vya mafuta kwa muda wa miezi mitatu kuanzia leo.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

"Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya
mafuta nchini," amesema.

=====

Serikali imesitisha utoaji wa vibali vipya vya ujenzi wa vituo vya mafuta na mabadiliko ya matumizi ya ardhi kwa ajili ya vituo vya mafuta kwa muda wa miezi mitatu kuanzia leo.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Ametoa mfano wa eneo lililopangwa kuendeleza ujenzi wa maghorofa vibali vifuate mpango.

Source: Mwananchi.
 
Serikali imesitisha utoaji wa vibali vipya vya ujenzi wa vituo vya mafuta na mabadiliko ya matumizi ya ardhi kwa ajili ya vituo vya mafuta kwa muda wa miezi mitatu kuanzia leo.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

"Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya
mafuta nchini," amesema.

=====

Serikali imesitisha utoaji wa vibali vipya vya ujenzi wa vituo vya mafuta na mabadiliko ya matumizi ya ardhi kwa ajili ya vituo vya mafuta kwa muda wa miezi mitatu kuanzia leo.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Ametoa mfano wa eneo lililopangwa kuendeleza ujenzi wa maghorofa vibali vifuate mpango.

Source: Mwananch
Atajuana mwenyewe na wakubwa.wanao Jenga vituo ni matajiri😂😂😂😂😂😂
 
Serikali imesitisha utoaji wa vibali vipya vya ujenzi wa vituo vya mafuta na mabadiliko ya matumizi ya ardhi kwa ajili ya vituo vya mafuta kwa muda wa miezi mitatu kuanzia leo.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

"Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya
mafuta nchini," amesema.

=====

Serikali imesitisha utoaji wa vibali vipya vya ujenzi wa vituo vya mafuta na mabadiliko ya matumizi ya ardhi kwa ajili ya vituo vya mafuta kwa muda wa miezi mitatu kuanzia leo.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Ametoa mfano wa eneo lililopangwa kuendeleza ujenzi wa maghorofa vibali vifuate mpango.

Source: Mwananchi.
Wazir huyo atahimili mziki wa wauza mafuta

Ova
 
Sasa huyu nae ni nani ananifinya hapa nlipokaa anasema eti money laundering. Sasa inahusikaje hapa? Eti GTs Yani kwamba watu wanasafishia hela zao kwenye vituo vya mafuta? Aah sidhani. Ngoja nimjibu nimwambie sidhani kama ni money laundering maana wanaonunua apartments za million 300 nao tuwaweke fungu gani? Hata hao nao sio money laundering wengi ni za urithi🥱
 
Back
Top Bottom