Vituo vya redio vinapowaajiri wasanii/wachekeshaji viheshimu michango yao

Vituo vya redio vinapowaajiri wasanii/wachekeshaji viheshimu michango yao

Yoranda

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2020
Posts
341
Reaction score
338
Habari za asubuhi Watanganyika wenzangu.

Lengo la kuwapa ajira wasanii bila shaka inalenga kuwapata wasikilizaji, kuwagombea audience kutengeneza base.

Zembwela hata mie amenivutia kumsikiliza, zaidi yake zembwela ana iq nzuri anapambanua mambo, Masoud Kipanya ni mmojawapo wanajua kuchambua mambo.

Ushauri wangu kwa wasanii hawa. Wasinyonywe, wajue wanavipaji/vipawa vinavyotumika free of charge.

Watambue wanazulumiwa. Pale Ulaya wachezaji wanaposajiliwa kuna makubaliano. Na kila mchezaji ana thamani yake. Hawa viumbe wapewe hadhi.

Wasanii kama Kingwendu so tu kuvuta watu hata matangazo ya biashara yatatumika kupitia yeye.

Waswahili tuamke
 
Wakiwa bench si ndio balaa zaidi? Maana wengi wapo huko, bora wanavyochukuliana watangazaji ndio thamani yao inapanda.
 
Unataka waachishwe kazi. Kwamba wadai hela nyingi
 
Si Haba wanalipwa na wanaingiza kipato lakini

Ova
 
Zembwela na Kitenge kipindi cha asubuhi wamekifanya kama kijiwe cha kahawa, kila mmoja anaongea lake, kwa makelele na bila mpangilio.
Combination ya Kitenge na Hando ilikuwa nzuri Sana.
lakini huyu Zembela ni mpayukaji sana na anakelele za kijinga. Wasipoangalia kipindi kinakufa kbs.
Bora abaki Kitenge na Rwenyagila wanaweza kufanya vzr.

2020
 
Combination ya Kitenge na Hando ilikuwa nzuri Sana.
lakini huyu Zembela ni mpayukaji sana na anakelele za kijinga. Wasipoangalia kipindi kinakufa kbs.
Bora abaki Kitenge na Rwenyagila wanaweza kufanya vzr.

2020
Bora hata kijiwe cha kahawa kuna mpangilio wa kuongea

Wanaboa sana jamaa.

Halafu wakishikilia kakitu kamoja wanaweza kukazungumzia mpaka kipindi kikaisha, sijui ni usomaji gani wa magazeti wa kijinga namna ile.

Nakaribia miezi 6 siwasikii.
 
Unafahamu wanalipwa kiasi gani cha mshahara na marupurupu mkuu?!
 
Back
Top Bottom