Vituo vya redio vinapowaajiri wasanii/wachekeshaji viheshimu michango yao

Vituo vya redio vinapowaajiri wasanii/wachekeshaji viheshimu michango yao

Wanaboa sana jamaa.

Halafu wakishikilia kakitu kamoja wanaweza kukazungumzia mpaka kipindi kikaisha, sijui ni usomaji gani wa magazeti wa kijinga namna ile.

Nakaribia miezi 6 siwasikii.
Kitenge huo usomaj wake wa makelele kama yupo bar cjawah muelewa kabsa
Wangemueaka hata pj angewasomea vzr
Magazet

Zembwela angetulia tu eat radio
Kile kipindi ndo kilimfaa super mix
 
Zembwela na Kitenge kipindi cha asubuhi wamekifanya kama kijiwe cha kahawa, kila mmoja anaongea lake, kwa makelele na bila mpangilio.
Katika jambo huwa sipendi kuhusu vipindi vya redio ni tabia ya mapresenter kubishana na kujisahau kuwa kuna watu wanawasikiliza.

Wanaleta habari za kijiweni kubishana na kutaka kushinda mada bila kuzingatia kuwa ile airtime wanayotumia kubishana hairudi na ni mikelele mwanzo mwisho.

Hii ina uhusiano wa moja kwa moja na experience ya utangazaji, hawa watu hawajasomea hii taaluma wainafanya kwa kutumia hisia tu.

Huku mtaani kuna vipaji na ubunifu kama wa akina Gardner, the late kibonde, masood kipanya, Dina marious, etc. Hawa watu ni talents na hawafanyi sababu wamekosa pakwenda.

Hawa wasanii akina Steve nyerere, sijui swebe, zembwela ni kukosa masilahi kwenye usanii sasa wanahaha pakushika sababu kuna damu mpya imeingia katika tasinia na wao kwasasa hawana mbavu za kupambana wanaamua kukimbilia kwenye Radio Presenting.
 
Wasafi fm vipindi vyao vyote ni mikelele tu,
Afadhali kidogo wale Wanyabi

Kama wana vitengo vya mitandaoni watafanyia kazi maoni ya wadau.

Wamesababisha nimeacha kumsikia mwanangu Ambangile kwa sababu ya kutokuwa na mpangilio maalumu.
 
Kama wana vitengo vya mitandaoni watafanyia kazi maoni ya wadau.

Wamesababisha nimeacha kumsikia mwanangu Ambangile kwa sababu ya kutokuwa na mpangilio maalumu.
Kelele zipi unazozingumzia naona unaingiza ushabiki wakati sports arena ndio moja Kati ya kipindi Bora kabisa Cha michezo Tanzania.
 
Asante kwanza kwa kunijibu kistaarabu lakini ufanyie kazi ushauri wangu.

Nimekuheshimu sana kukujibu, huwa mara nyingi sijibu mtu ambaye hana staha kwenye discussions.

Mimi ninapokwambia kwamba siwaelewi Wasafi kipindi chao cha michezo, na wewe unakuja kunilazimisha kwamba wao ndiyo kipindi bora kwa hiyo mimi natumia ushabiki, je ni bora kwa mtazamo wako au wangu?

Kwa hiyo kama kwako ni bora, unataka kiwe bora kwetu sote? Au umetumia kipimo gani kuona kwamba Wasafi kipindi cha michezo ndicho Bora?
 
Nimekuheshimu sana kukujibu, huwa mara nyingi sijibu mtu ambaye hana staha kwenye discussions.

Mimi ninapokwambia kwamba siwaelewi Wasafi kipindi chao cha michezo, na wewe unakuja kunilazimisha kwamba wao ndiyo kipindi bora kwa hiyo mimi natumia ushabiki, je ni bora kwa mtazamo wako au wangu?

Kwa hiyo kama kwako ni bora, unataka kiwe bora kwetu sote? Au umetumia kipimo gani kuona kwamba Wasafi kipindi cha michezo ndicho Bora?
Niambie hizo kalele unazosema Ni zipi tuanzia hapo kwanza?
 
Mimi Tatizo langu lipo pale EFM Steve hakuna kitu hwaezi pambanua mambo na vilevie anajidhihirisha yupo upande kwenye Siasa likija suala la kutoa maoni hii hupunuguza Mvuto kwa media
 
Back
Top Bottom