Vituo vya redio vinapowaajiri wasanii/wachekeshaji viheshimu michango yao

Vituo vya redio vinapowaajiri wasanii/wachekeshaji viheshimu michango yao

Hakuna kelele zozote zile, mimi ni mshabiki, Sports Court ndiyo kipindi bora na pendwa kabisa cha michezo Tanzania nzima.
Angalia unavyojiuma tumezungumzia sports arena wewe unachomokea sports court kwel waalimu wa Tanzania wanakazi kweli kweli 🤣🤣 ndio shida hii ya kukosa hoja.
 
Angalia unavyojiuma tumezungumzia sports arena wewe unachomokea sports court kwel waalimu wa Tanzania wanakazi kweli kweli 🤣🤣 ndio shida hii ya kukosa hoja.

Toka mwanzo nimekueleza usipende kubishana na vilaza watasababisha uonekane wewe ni kilaza pia, wakati wewe ni msomi bora kabisa, ambaye hukusumbua waalimu wako kipindi unasoma, mwenye hoja sahihi na makini.
 
Toka mwanzo nimekueleza usipende kubishana na vilaza watasababisha uonekane wewe ni kilaza pia, wakati wewe ni msomi bora kabisa, ambaye hukusumbua waalimu wako kipindi unasoma, mwenye hoja sahihi na makini.
Hahah hilo ni jibu safi kabisa kwa huyo mwanahisa wa WCB(Mama Kusaga).
 
Dogo alishawahi kusema Mtu anayeweza kununua Mark X ana hela sana na hawezi kushindwa kujenga nyumba,tangu hapo nikajua bwn mdogo bado yuko shule haingia mtaani.

Namwelewa, halafu sasa hafundishiki.

Kila ukijaribu kumwelewesha anakimbilia kuzungumzia shule, ushabiki, hoja.

Shule yenyewe najua ni tia tia maji kwa hoja zake.
 
Dogo alishawahi kusema Mtu anayeweza kununua Mark X ana hela sana na hawezi kushindwa kujenga nyumba,tangu hapo nikajua bwn mdogo bado yuko shule haingia mtaani.
Mwenye akili timamu atakae nunua mark x nikweli hela anayo nahawez kusindwa kujenga nyumba kama akitaka. Jamaa hakukosea
 
Mwenye akili timamu atakae nunua mark x nikweli hela anayo nahawez kusindwa kujenga nyumba kama akitaka. Jamaa hakukosea
wakubeti tatizo la Hawa jamaa wanajifanya Wana akili Sana alafu Ni weupe mtu kabisa ana uwezo kabisa wa kununua mark x anashindwa vipi kujenga nyumba? Kuna wengine hata tu uwezo wa kununua vitz Hana lakini anayo nyumba atashindwa huyo
 
wakubeti tatizo la Hawa jamaa wanajifanya Wana akili Sana alafu Ni weupe mtu kabisa ana uwezo kabisa wa kununua mark x anashindwa vipi kujenga nyumba? Kuna wengine hata tu uwezo wa kununua vitz Hana lakini anayo nyumba atashindwa huyo
Mahitaji ya muhimu kwa binaadam ni chakula malazi na mavazi. ukimuona MTU mwenye akili timamu ananunua hio mark x jua hayomahitaji muhim ya binaadam nihayampi shida
 
Na huku cloudsFM heka heka kuna wakina Mwinjaku [emoji1787][emoji1787]
Clouds fm walizingatia sana uwezo binafsi wa mtu. Nakumbuka miaka ya 2009 hadi 2015 nilikuwa sina redio inayonivutia zaidi ya clouds, kila nilipopata muda nilifungulia clouds! Siku hizi siwaelewi flan kwa watu km Perfect ( zamani ni km alikuwa producer wao), Mina Ally, Mkazuzu , Fatma Likwata nk
 
Hizi mada nyingine bhana, kwani wewe nani kakwambia awaheshimiwi? Kama vipi anzisha thread ya madereva wa malori nao, maana wao ndio wanaleta mchele kutoka Kyela ili uweze kula wali maharage kwa Mama lishe.
 
Mnahangaika tu. Man utd ndio timu isipocheza aunt isiposhiriki elite cup mapato Hanna.mnajiliwaza tu. Sinawasi na united its a universe club. Jiungeni turn siingii forum zenu nyie mnaleta umbea ot. Anyways karibuni, hate mechi zenu zinapochezwa, hatuangalii man akicheza na vitimu flanflan Latina muangalie, maamaae zenu. Kiukweli utd is awesome club
 
Kuna kitu kinaotwa ubunifu,Tatizo la JF Kuna watu wanataka wafanane mawazo,Kuna watu wako very conservative Kama mzee Wenger.Tukubali tu kuwa maisha yamebedilika na hayo makelele unayolalamika wengine Ndio wanapenda na wanaenjoy.kipindi Cha magazeti mtu anasoma halafu mpaka kinaleta usingizi kipindi Kama hicho kimepitwa na wakati.
kitenge na Zembwela wameamua kutafuta vichwa vichache vya magazeti vinavyovutia Ndio wanavijadili hususani Ni kwa magazeti matatu Hadi matano.Zile habari za "shule ya msingi Madudu Haina madarasa ya kutosha"hawasomi.kwanza kipindi kina dakika 5 tu za kusoma na 5 za kuchambua Basi Sasa wewe unataka wasome Kama wenye muda mrefu na wanasoma habari hazina kichwa Wala miguu.Kaangalie. Insta jinsi clip zao zinavyobamba,hao wanaoomba taratibu wambie nao waweke Kama zitafanana.

Kiufupi ubunifu unaweza kumpendeza mtu au ukakukera,Ni kawaida.Tusitake kuishi Kama miaka ya 2011,maisha yamebedilika.
 
Back
Top Bottom