Kitenge huo usomaj wake wa makelele kama yupo bar cjawah muelewa kabsaWanaboa sana jamaa.
Halafu wakishikilia kakitu kamoja wanaweza kukazungumzia mpaka kipindi kikaisha, sijui ni usomaji gani wa magazeti wa kijinga namna ile.
Nakaribia miezi 6 siwasikii.
Katika jambo huwa sipendi kuhusu vipindi vya redio ni tabia ya mapresenter kubishana na kujisahau kuwa kuna watu wanawasikiliza.Zembwela na Kitenge kipindi cha asubuhi wamekifanya kama kijiwe cha kahawa, kila mmoja anaongea lake, kwa makelele na bila mpangilio.
Wasafi fm vipindi vyao vyote ni mikelele tu,Zembwela na Kitenge kipindi cha asubuhi wamekifanya kama kijiwe cha kahawa, kila mmoja anaongea lake, kwa makelele na bila mpangilio.
Wasafi fm vipindi vyao vyote ni mikelele tu,
Afadhali kidogo wale Wanyabi
Kwenye sports arena wanafanya vzr SanaKama wana vitengo vya mitandaoni watafanyia kazi maoni ya wadau.
Wamesababisha nimeacha kumsikia mwanangu Ambangile kwa sababu ya kutokuwa na mpangilio maalumu.
Kumwelewa zembela/mpki mtu inabidi uwe umepiga cha Arusha mixer na kitoko.Sijawahi kumuelewa Zembwela hata siku moja. Masoud namwelewa na Musa
Steve Nyerere?Yule si ni empty set kabisa dah.Simkubali Zembwela. Nimeacha kusikiliza Wasafi kwa sababu yake. Bora Kitenge angebaki Efm. Na kule Efm kuna Steve Nyerere. Hakuna kitu
Kelele zipi unazozingumzia naona unaingiza ushabiki wakati sports arena ndio moja Kati ya kipindi Bora kabisa Cha michezo Tanzania.Kama wana vitengo vya mitandaoni watafanyia kazi maoni ya wadau.
Wamesababisha nimeacha kumsikia mwanangu Ambangile kwa sababu ya kutokuwa na mpangilio maalumu.
Kelele zipi unazozingumzia naona unaingiza ushabiki wakati sports arena ndio moja Kati ya kipindi Bora kabisa Cha michezo Tanzania.
Wewe huna hoja alafu unajikuta mjuaji kweli kweli punguza u much knowPoor minded, ignored.
Wewe huna hoja alafu unajikuta mjuaji kweli kweli punguza u much know
Asante kwanza kwa kunijibu kistaarabu lakini ufanyie kazi ushauri wangu.Thank you.
Usipende ku quote watu wasio na hoja, washabiki, na ambao hawajaenda shule.
Itakufanya uonekane kama wao.
Asante kwanza kwa kunijibu kistaarabu lakini ufanyie kazi ushauri wangu.
Niambie hizo kalele unazosema Ni zipi tuanzia hapo kwanza?Nimekuheshimu sana kukujibu, huwa mara nyingi sijibu mtu ambaye hana staha kwenye discussions.
Mimi ninapokwambia kwamba siwaelewi Wasafi kipindi chao cha michezo, na wewe unakuja kunilazimisha kwamba wao ndiyo kipindi bora kwa hiyo mimi natumia ushabiki, je ni bora kwa mtazamo wako au wangu?
Kwa hiyo kama kwako ni bora, unataka kiwe bora kwetu sote? Au umetumia kipimo gani kuona kwamba Wasafi kipindi cha michezo ndicho Bora?
Niambie hizo kalele unazosema Ni zipi tuanzia hapo kwanza?