Angalia unavyojiuma tumezungumzia sports arena wewe unachomokea sports court kwel waalimu wa Tanzania wanakazi kweli kweli 🤣🤣 ndio shida hii ya kukosa hoja.Hakuna kelele zozote zile, mimi ni mshabiki, Sports Court ndiyo kipindi bora na pendwa kabisa cha michezo Tanzania nzima.
Angalia unavyojiuma tumezungumzia sports arena wewe unachomokea sports court kwel waalimu wa Tanzania wanakazi kweli kweli 🤣🤣 ndio shida hii ya kukosa hoja.
Hahah hilo ni jibu safi kabisa kwa huyo mwanahisa wa WCB(Mama Kusaga).Toka mwanzo nimekueleza usipende kubishana na vilaza watasababisha uonekane wewe ni kilaza pia, wakati wewe ni msomi bora kabisa, ambaye hukusumbua waalimu wako kipindi unasoma, mwenye hoja sahihi na makini.
Hahah hilo ni jibu safi kabisa kwa huyo mwanahisa wa WCB(Mama Kusaga).
Dogo alishawahi kusema Mtu anayeweza kununua Mark X ana hela sana na hawezi kushindwa kujenga nyumba,tangu hapo nikajua bwn mdogo bado yuko shule haingia mtaani.Huyo dogo ana akili za kishule shule, sasa huwa anazileta humu pia.
Dogo alishawahi kusema Mtu anayeweza kununua Mark X ana hela sana na hawezi kushindwa kujenga nyumba,tangu hapo nikajua bwn mdogo bado yuko shule haingia mtaani.
Mwenye akili timamu atakae nunua mark x nikweli hela anayo nahawez kusindwa kujenga nyumba kama akitaka. Jamaa hakukoseaDogo alishawahi kusema Mtu anayeweza kununua Mark X ana hela sana na hawezi kushindwa kujenga nyumba,tangu hapo nikajua bwn mdogo bado yuko shule haingia mtaani.
Ni kweli na hata buti la JEJE hawezi kushindwa kulinunua.Mwenye akili timamu atakae nunua mark x nikweli hela anayo nahawez kusindwa kujenga nyumba kama akitaka. Jamaa hakukosea
wakubeti tatizo la Hawa jamaa wanajifanya Wana akili Sana alafu Ni weupe mtu kabisa ana uwezo kabisa wa kununua mark x anashindwa vipi kujenga nyumba? Kuna wengine hata tu uwezo wa kununua vitz Hana lakini anayo nyumba atashindwa huyoMwenye akili timamu atakae nunua mark x nikweli hela anayo nahawez kusindwa kujenga nyumba kama akitaka. Jamaa hakukosea
Wewe unaingiza ushabiki badala ya hojaNi kweli na hata buti la JEJE hawezi kushindwa kulinunua.
Mahitaji ya muhimu kwa binaadam ni chakula malazi na mavazi. ukimuona MTU mwenye akili timamu ananunua hio mark x jua hayomahitaji muhim ya binaadam nihayampi shidawakubeti tatizo la Hawa jamaa wanajifanya Wana akili Sana alafu Ni weupe mtu kabisa ana uwezo kabisa wa kununua mark x anashindwa vipi kujenga nyumba? Kuna wengine hata tu uwezo wa kununua vitz Hana lakini anayo nyumba atashindwa huyo
Imeandikwa:Mjibu mpumbavu kwa kadri ya upumbavu wake.Wewe unaingiza ushabiki badala ya hoja
Kwanza umeingilia mada ambayo imekukuta njiani ujui kinachoongelewa Ni niniImeandikwa:Mjibu mpumbavu kwa kadri ya upumbavu wake.
Ujui?Kwanza umeingilia mada ambayo imekukuta njiani ujui kinachoongelewa Ni nini
Clouds fm walizingatia sana uwezo binafsi wa mtu. Nakumbuka miaka ya 2009 hadi 2015 nilikuwa sina redio inayonivutia zaidi ya clouds, kila nilipopata muda nilifungulia clouds! Siku hizi siwaelewi flan kwa watu km Perfect ( zamani ni km alikuwa producer wao), Mina Ally, Mkazuzu , Fatma Likwata nkNa huku cloudsFM heka heka kuna wakina Mwinjaku [emoji1787][emoji1787]