Vituo vya TV vimenibania kucheza video ya wimbo wangu "Usiunyanyape Moyo Wangu"

Vituo vya TV vimenibania kucheza video ya wimbo wangu "Usiunyanyape Moyo Wangu"

Deogratius Kisandu

Mkuu kati ya mada zako ambazo huwa zinanisisimua mimi pamoja na watu wengine ni hizi:
1.Historia ya maisha yako
2.Kudhulumiwa haki/mali zako
3.Safari yako kisiasa
4.Ndugu zako kukutenga na wengine kutaka roho yako
5.Ndoto yako..unataka kuwa nani hapa Tanzania
Viambatanisho/vyeti/nyaraka/ushahidi wa yale unayoyaelezaga huwa ni burdani sana sana.
Pia Wewe kuwa Rais/mbunge wa NCHI HII.
Deogratius nalimi kisandu...kitukuu cha kisandu
Sikuhizi ze comedy yang ni jf, shule yang jf, bar yang jf hehhehehe
 
Back
Top Bottom