Vituo vya usaili kwa walimu ni bado?

Vituo vya usaili kwa walimu ni bado?

Nyarupala

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
494
Reaction score
856
Nikiingia kwenye account yangu kwenye sehemu ambako usaili utafanyika hakuna jina la kituo na badala yake wanaelekeza kuingia kwenye tovuti ya www.ajira. go.tz kwa taarifa zaidi lakini nako hakuna taarifa yoyote.

Shida ni nini hapa wakuu? Au majina ya vituo bado?
 
Nikiingia kwenye account yangu kwenye sehemu ambako usaili utafanyika hakuna jina la kituo na badala yake wanaelekeza kuingia kwenye tovuti ya www.ajira. go.tz kwa taarifa zaidi lakini nako hakuna taarifa yoyote.

Shida ni nini hapa wakuu? Au majina ya vituo bado?
Subiri mambo hayajaiva, yakiiva utaona, cha msingi endelea kujiandaa
 
Mwalimu jiandae kwa usaili wa kuandika hapo soma sana mambo ya darasani.Sasa hivi Taifa litahitaji jamii bora kwa maendeleo na ustawi wa Taifa,hivyo wewe chukua namba ya mtihani iandike pembeni iweke kichwani na uzingatie tarehe uliyoandikiwa.Mambo ya venue waachie PRSRS
 
Nikiingia kwenye account yangu kwenye sehemu ambako usaili utafanyika hakuna jina la kituo na badala yake wanaelekeza kuingia kwenye tovuti ya www.ajira. go.tz kwa taarifa zaidi lakini nako hakuna taarifa yoyote.

Shida ni nini hapa wakuu? Au majina ya vituo bado?
Wenzako wameshaanza safari mkuu, wanaelekea huko.
 
Nikiingia kwenye account yangu kwenye sehemu ambako usaili utafanyika hakuna jina la kituo na badala yake wanaelekeza kuingia kwenye tovuti ya www.ajira. go.tz kwa taarifa zaidi lakini nako hakuna taarifa yoyote.

Shida ni nini hapa wakuu? Au majina ya vituo bado?
Tz tuna shida sana! Mijitu imejaa maofisini wanalea vitambi TU! Shit!
 
Back
Top Bottom