Vituo vya Yatima (Orphanages) ni biashara ya utumwa

Vituo vya Yatima (Orphanages) ni biashara ya utumwa

Bado hujasemaaa.... Kwa hiyo mtoto ana kuwa haramu ....ndio au hapana....
Karudie kunisoma, siwezi kujibu swali mara 10. Umekurupuka. Mtoto wa haramu haimaanishi mtoto ni haramu.

Wewe kama umezaliwa nje ya ndoa, usimtafute baba'ko, ni mshenzi tu mmoja aliyemrubuni mama'ko kwa ujinga au umasikini wake, akamvulia chupi ukapatikana wewe. Au ni mshenzi mmoja aliyembaka mama'ko.

Ukweli huwa mchungu na tusitake kuuhalalisha uzinzi na uasherati kupitia watoto wasiokuwa na hatia.

Dkt. Gwajima D aunde tume wapitie kila kituo cha yatima, baba za hao watoto wajulikane na wahukumiwe kisheria.
 
Karudie kunisoma, siwezi kujibu swali mara 10. Umekurupuka. Mtoto wa haramu haimaanishi mtoto ni haramu.

Wewe kama umezaliwa nje ya ndoa, usimtafute baba'ko, ni mshenzi tu mmoja aliyemrubuni mama'ko kwa ujinga au umasikini wake, akamvulia chupi ukapatikana wewe. Au ni mshenzi mmoja aliyembaka mama'ko.

Ukweli huwa mchungu na tusitake kuuhalalisha uzinzi na uasherati kupitia watoto wasiokuwa na hatia.

Dkt. Gwajima D aunde tume wapitie kila kituo cha yatima, baba za hao watoto wajulikane na wahukumiwe kisheria.
Mkuu, ulishawahi kukitembelea kituo chochote cha watoto? Kama bado, nakushauri ufanye hivyo. Na itakuwa vizuri, ukaomba nafasi ya kujitolea kwa muda, hata mwezi mmoja tu. Kuna mengi utakayoyabaini yatakayobadilisha kabisa mtazamo wako.

Inawezekana umeshasikia mengi kuhusu hivyo vituo vya watoto, lakini utakayojionea wewe mwenyewe yatakuwa na impact kubwa sana.

Fanya hivyo halafu uulete mrejesho. Siyo agizo lakini, nj ushauri tu ambao ninaamini unaweza ukawa na impact kubwa sana kwako.

Asante 🙏
 
Mkuu, ulishawahi kukitembelea kituo chochote cha watoto? Kama bado, nakushauri ufanye hivyo. Na itakuwa vizuri, ukaomba nafasi ya kujitolea kwa muda, hata mwezi mmoja tu. Kuna mengi utakayoyabaini yatakayobadilisha kabisa mtazamo wako.

Inawezekana umeshasikia mengi kuhusu hivyo vituo vya watoto, lakini utakayojionea wewe mwenyewe yatakuwa na impact kubwa sana.

Fanya hivyo halafu uulete mrejesho. Siyo agizo lakini, nj ushauri tu ambao ninaamini unaweza ukawa na impact kubwa sana kwako.

Asante 🙏
Siwezi kwenda kutembelea biashara za utumwa. Nafahamu namna ya kuhudumia yatima Kiislam.
 
Mtoto aliyepatikana kwa njia haramu ? sex si ileile au? Kwani Watoto wa nje ya ndoa Wanazaliwa na rangi ya blue alafu wa ndani ya ndoa ndo Wana ngozi za binadamu? There is no difference .
 
Siwezi kwenda kutembelea biashara za utumwa. Nafahamu namna ya kuhudumia yatima Kiislam.
Watoto no watoto, bila kujali dini zao. Je! Umeshawahi basi hata kukitembelea cha watoto kinachoendeshwa Kiislamu?

Kama hujafanya hivyo, kitafute kimoja ujitolee, hata kwa wiki mbili tu. Naamini utakuwa na cha tofauti cha kusema baada ya hilo tukio.
 
Karudie kunisoma, siwezi kujibu swali mara 10. Umekurupuka. Mtoto wa haramu haimaanishi mtoto ni haramu.

Wewe kama umezaliwa nje ya ndoa, usimtafute baba'ko, ni mshenzi tu mmoja aliyemrubuni mama'ko kwa ujinga au umasikini wake, akamvulia chupi ukapatikana wewe. Au ni mshenzi mmoja aliyembaka mama'ko.

Ukweli huwa mchungu na tusitake kuuhalalisha uzinzi na uasherati kupitia watoto wasiokuwa na hatia.

Dkt. Gwajima D aunde tume wapitie kila kituo cha yatima, baba za hao watoto wajulikane na wahukumiwe kisheria.
Sijui nisemeje ..Kwa uandishi huu yaelekea unaishi kwenye Dunia Yako !
 
Karudie kunisoma, siwezi kujibu swali mara 10. Umekurupuka. Mtoto wa haramu haimaanishi mtoto ni haramu.

Wewe kama umezaliwa nje ya ndoa, usimtafute baba'ko, ni mshenzi tu mmoja aliyemrubuni mama'ko kwa ujinga au umasikini wake, akamvulia chupi ukapatikana wewe. Au ni mshenzi mmoja aliyembaka mama'ko.

Ukweli huwa mchungu na tusitake kuuhalalisha uzinzi na uasherati kupitia watoto wasiokuwa na hatia.

Dkt. Gwajima D aunde tume wapitie kila kituo cha yatima, baba za hao watoto wajulikane na wahukumiwe kisheria.
Una matatizo we ajuza......
 
Hizi dini/Imani zinatuharibia sana utu, unawezaje kumuita binadamu mwenzako kuwa ni tunda/zao la uasherati? Hivi Kuna mtu anaependa azaliwe kwa njia hio? Kote nakubaliana na wewe Ila kwa hii statement, HAPANA aiseeee!

Mbegu au hatua ya kuzaliana huwa hainaga hizo Habari za zinaa au uasherati! MUNGU ndio anayeruhusu Uumbaji utokee. Shukrani
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Hizi dini/Imani zinatuharibia sana utu, unawezaje kumuita binadamu mwenzako kuwa ni tunda/zao la uasherati? Hivi Kuna mtu anaependa azaliwe kwa njia hio? Kote nakubaliana na wewe Ila kwa hii statement, HAPANA aiseeee!

Mbegu au hatua ya kuzaliana huwa hainaga hizo Habari za zinaa au uasherati! MUNGU ndio anayeruhusu Uumbaji utokee. Shukrani
Mila na desturi zoteza Kitanzania zina ndoa, ndoa si lazima za kidini tu, zipo za kimila.

Hayta wasio na dini (wapagani) wana ndoa za kimila, kuna ndoa za bomani.

Nje y hayo ni mtoto aliyezaliwa kwa uasherati na uzinzi. Hayasemwi tu, watoto wengi huko ikichunguzwa kwa kina utakuta ni wa babu zao nawajomba zao.

Ukweli usemwe, vituo vya yatima ni muendelezo wa utumwa.
 
Kwahiyo waachwe wazagae mtaani kisa orphanage zinapiga ela?? Kwani ni ela yako inayotoka? Ni ya serikali? Si watu wanatoa wenyewe! Hayajakukuta na usiombee utakuja kufuta bandiko hapa. Mtu anazaa mtoto anatamani amtupe shimoni kwasababu ya ugumu wa maisha anaamua akimbilie kumwacha huko we unakebehi. Mungu akusamehe
 
Kwahiyo waachwe wazagae mtaani kisa orphanage zinapiga ela?? Kwani ni ela yako inayotoka? Ni ya serikali? Si watu wanatoa wenyewe! Hayajakukuta na usiombee utakuja kufuta bandiko hapa. Mtu anazaa mtoto anatamani amtupe shimoni kwasababu ya ugumu wa maisha anaamua akimbilie kumwacha huko we unakebehi. Mungu akusamehe
Kanisome tena, siongelei "hela".
 
Back
Top Bottom