inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
Habari wadau.
Nina gari Vitz old model. Engine yake inasumbuasumbua inahitaji either fundi makini au half engine au engine mpya.
Half engine nimeambiwa mil 1. Engine kamili mil 2. Mimi nimefulia hata ipite miaka kadhaa sitakiwa na uwezo wa kuinunua. Hivyo naiuza.
Mimi ndo mmiliki siyo dalali. Bei maelewano ila-gari ipo Ifakara mjini
Nina gari Vitz old model. Engine yake inasumbuasumbua inahitaji either fundi makini au half engine au engine mpya.
Half engine nimeambiwa mil 1. Engine kamili mil 2. Mimi nimefulia hata ipite miaka kadhaa sitakiwa na uwezo wa kuinunua. Hivyo naiuza.
Mimi ndo mmiliki siyo dalali. Bei maelewano ila-gari ipo Ifakara mjini