Vitz vs starlet

unaweza kukuta ni dogo hata gereji
hapo umeulizwa swali dogo tu
unamaana kilometer 100 kwa lita moja?
bado hujajibu unasema ni IVS NI UONGO hakuna mahesabu hayo wala Dictionary ya magari tafuta na utuwekee hapa hiyo link usemayo Internationai Vehicle Standard
ndio maana nikakusifia kwa elimu ya kuzaliwa
uongo mwingine ni speed ya gari (RPM)
pia 4.6 au 5.8 / 100km bado utajichanganya kwa nadharia yako ya 1/100
umeshaambiwa hapo juu kuwa kuwa hizi gari zina tumia mafuta kwa 3.3/100
Fuel consumption (economy) - extra urban 3.3 l/100 km
na hata injini ni cc990 mpaka 1300cc
nafurahi unaanza kuikana hiyo lita 1 kwa kilomita 100 gari la petrol bila solar wala umeme
 

We're not talking about fucking IVS recommendation here dude

We're talking about the real specifications of the said cars

Muuliza swali hajauliza anataka kutengeneza gari hivyo anataka kujua IVS wana recommend watengenezaji waweke ratio ipi kwa magari madogo

Muuliza swali kauliza specifically kuhusu magari ya Virtz na Starlet, pamaoja na mengineyo akataka kujua ulaji wake wa mafuta upoje

Bila kumung'unya maneno ungetoa "utaalamu" kuwa Virz ina ratio hii na Staret ina ratio hii
Na ungetoa "utaalamu" zaidi kwanini ratio hizo zinaongezeka au kupungua kutoka kwenye ratio halisi walizotengeneza watengenezaji

Hapa hatubishani habari ya cc wala hp wala cylinder wala hatutaki recommenderio za IVS
Hapa tunataka specifications halisi za virtz au starlet

Watanganyika wapo interested zaidi na fuel consumption kwenye magari, sasa unaposema ratio ya 1/100 hakuna atakaye kuelewa sababu hizo ni recommendation na sio halisi

Dunia ya leo hakuna longo longo bana almost everything unaweza uka google na ukapa taarifa sahihi
 
Mkuu naomba utusaidie baadhi ya magari ambayo yamesha meet hiyo standard ya 1/100km au yanayokaribia kiwango hicho.
 
Dah hv unawezakunambia RPM ni nini? na kazi yake ni nini kwenye gari? nimekwambia ulaji wa mafuta ni maamuzi ya mtengenezaji kutokana na nguvu ya engine au kwa kiwango cha speed fulani

Pia unakiwa kujua ulaji wa mafuta si kwa ajili eti gari ina Cc ndogo au ina 4 au 8 Cylinder

Vitz pamoja na Yaris zote ni vitz tu kuna yenye engine ya 1.3 Litre 84 horsepower
na yenye 1.5 Litre 110 horsepower sasa hyo flate rate ya 3.3 umeitoa wapi?

Pia sijaelewa unabisha kuwa ratio 1/100 hakuna kwa gari ndogo au unabisha hakuna kitu kinachoitwa International Vehicle Standards (IVS)?
Kwenye hii mada nimepost zaidi ya post 15 na nimeulizwa maswali kama uliyoniuliza ww sijabadilisha kile nikiamicho so siwezi kukana kile nilichoandika mm
 
Mkuu naomba utusaidie baadhi ya magari ambayo yamesha meet hiyo standard ya 1/100km au yanayokaribia kiwango hicho.

Mkuu unakwenda mbali sana huko
Mwambie tu akupe link ya hao jamaa IVS wanaotoa ubora wa magari kabla hayajatoka kwa matumizi na IVS wakikuta hujakidhi viwango unalazimika kuyatoa sokoni

Au jiongeze kwa kugoogle uone vichekeaho
 
umeangalia swali nimeulizwa swali gani ? ndo nikajibu hvyo? sasa nielezee specifications za vitz wakati sijaulizwa swali la kuhusu vitz? na alieuliza swali unahakika ni mtoa mada?
 

Attachments

  • Screenshot_2017-02-01-14-35-32.png
    54.7 KB · Views: 118
  • Screenshot_2017-02-01-14-35-32.png
    54.7 KB · Views: 108
Stalet bhana..jiwe hilo!!
 
Hakuna vitz ngumu kama stalet hata iwe ni new model. Yeye anauliza zaidi ugumu kwa mazingira ya kitanzania. Chamuhimu ndugu mwambie azingatie tu iwe na gia tano.
Hiyo ndio better than.
Asante.
 
Wakuu naomba kujua kati ya izo gari mbili ....ipi ina ubora zaidi....? Kwa upande wa kula mafuta na usafiri wa umbali mrefu ...vilevile ni gari ipi inayo weza kudumu ...kwa mda mrefu......


Ni hayo tyu wakuu. ....wenye kujua wanijuvyeee
Go for vitz, au starlet but iwe glanza.
 
umeangalia swali nimeulizwa swali gani ? ndo nikajibu hvyo? sasa nielezee specifications za vitz wakati sijaulizwa swali la kuhusu vitz? na alieuliza swali unahakika ni mtoa mada?

Kwahiyo huyo uliom quote ndio kauliza kuhusu recommendation?

Unajua lakini maana ya recommendations?

Btw tupe angalau link tu ya hao IVS
 
Mkuu wasamehe sio kua ni vichaa tatizo ni hiyo lugha ya malkia,na lingine unawezakuta unabishana na mtu ambae hajawahi endesha gari ,saana kajitahidi ni toyo.
 
Tupe maujanja na ujuzi mkuu Achana na hao wengine unakuta kwao wapo wanne sasa yeye ndio yuleee..""
 
Kwahiyo huyo uliom quote ndio kauliza kuhusu recommendation?

Unajua lakini maana ya recommendations?

Btw tupe angalau link tu ya hao IVS
Nimegundua ww haupo kwa kujifunza hupo kwa ajili ya kubishana ujinga na upuuzi
unaniuliza maana ya recommendations kweli ? pia nataka kukwambia Google si source pekee ya information kama unaamini hvyo bhasi huko nyuma sana kwani Google ni search engine tu inakuletea chochote kinachoendana na kitu ulichokiuliza kiwe cha ukweli au uongo je sehemu ambazo hakuna Google kama China na Russia wanatumia nini kupata taarifa? sijakuelewa unachotaka ni nini unataka link ya nilichosema ? au unataka kujua nilichokiandika nimekitoa wapi?
hoja ni kuniuliza nilichokiandika nimekitoa wapi si kunambia tu tupe link !!!!

Dah inasikitisha sana mtu kitu chochote anakimbilia Google vipo vyazo vya habari vingi sana na kuna vitu ving sana uwezi kusema nikienda Google tu nakipata haya tumchukue mwanafunzi wa form 4 tumpeleke akafanye mtihani wa chuo kikuu tumpatie simu na internet data tuone kama atapata 100 mtihani wake kwa kutumia Google kujibu maswali ya mitihani yake kama kila kitu unakipata Google
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…