Viumbe 10 Vyenye Sumu Zaidi Hapa Duniani

Viumbe 10 Vyenye Sumu Zaidi Hapa Duniani

Huyo puffer fish ni hatari sana kuna namna yake ya kumpika ukikosea kidogo tu ni akhera moja kwa moja
 
c68211bb655d4c1124972b86b4fab387.jpg
[emoji115] [emoji115] Mbona huyu hayumo?
 
King cobra hawezi kumzidi sumu black mamba
Hao wote unaowazungumzia...ni jamii moja ([emoji216] mamba) A) Black mamba, B) Green Mamba, C) Johnson Mamba D) King Cobra.. Hiyo ndiyo jamii yao utofautiana kwa urefu, rangi, na speed. Ila sumu ni sawa na huwa ina tabia ya kukimbilia kwenye ubongo, na huwa na tabia yaekugandisha damu.....
 
5c1dda02-86c9-484b-be26-4600d60bc7f9image12.jpeg

1. Box Jelly Fish



2. King Cobra



3. Blue Ringed Octopus



4. Marbled Cone Snail



5. Stone Fish



6. Death Stalker Scorpion



7. Inland Taipan



8. Brazilian Wandering Spider



9. Poison Dart Frog



10. Puffer Fish

chanzo;Priority10News
Huyo puffer fish sumu yake wachawi wanaitumia kutengenezea misukule
 
Chief hujui tu, huyo analiwa kama kawaida, kwenye matumbo yake kuna vitu vinatolewa, then analiwa kama kawa
Hukunielewa. Nimemaanisha akiwa baharini hakuna kiumbe yoyote wa baharini anaeweza kumla kwa sababu ya miba yake...
Au hujui swamaki walana wao kwa wao shekhe?
 
Hukunielewa. Nimemaanisha akiwa baharini hakuna kiumbe yoyote wa baharini anaeweza kumla kwa sababu ya miba yake...

Jifunze kuwaza kwa mapana
Ungeandika hivyo ningekujibu hivyo, hukuandika neno baharini
 
Back
Top Bottom