Wewe ndo shabiki halisi Wa mpira achana na huyo mbangaizaji.Uliposema Viungo bora wa kukaba wa muda wote nilitegemea nione majina haya kwa haraka sana;
Claude Makelele
Roy Keane
Patrick Vieira
Marcon Sena
Lothar Matthiaus
Didier Deschamps
Frank Rijkaard
Gilberto Silva
Na wengineo wa kariba hiyo. Sasa ninapoona akina Sergio Busquet ndio namba moja nabaki kushangaa!
Wewe mpira huujui, Sergio awe kiungo bora mkabaji mbona kichekesho hiki. Kwenye orodha eti kuna Kante na kina Casemiro, kituko hiki sasa.Yeah! Wanasoka wenzangu nipo hapa kutoa List fupi wa viungo wa kukaba bora wa mda wote kwa upande wangu katika tasnia ya soccer .
1.Sergio Busquets - kwa upande wangu huyu jamaa ni bora kabisa katika viungo wote kutokana na uwezo wake wa kuziba matobo na kupiga killer pass na unyumbulifu wake
2.Gatusso- huyu nampa nafasi ya pili kutokana na ubora wake katika kukaba na roho mbaya ya unyama unyama
3.Claudia Makelele- kijana kutoka ufaransa nae alikuwa ni bora kabisa katika nafasi yake hiyo
4.Ngolo Kante- kijana pia kutoka ufaransa ambaye anakipaji cha hali ya juu katika kusakata kabbu katika hiyo nafasi
5.Cassemiro - a.k.a the Tank ni kipaji kinachochipukia lakini kutokana na ubora wake nampa nafasi ya tank
6.Xavi Alonso mhisipaniola fundi nae ni xavi Alonso anasifika kwa kupiga long passes na kukaba .
Japo heading inasema ni top ten naomba niishie 6 ilikuwapa nafasi na wachangiaji kumalizia hao wa 4 waliobaki
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mbona kwenye list sijamuona Papy Kabanga Tshishimbi.
For this time yule mmakonde ng'olo kante yupo vizuri aiseeHuyo sergio na kante hata kwenye namba 15 hawapo...
Huyu bwa mdogo soka kaanza juzi.. huoni na kapicha kake kaweka hapo, jina alilochagua tu ni sergio 5 unategemea nini!?Uliposema Viungo bora wa kukaba wa muda wote nilitegemea nione majina haya kwa haraka sana;
Claude Makelele
Roy Keane
Patrick Vieira
Marcon Sena
Lothar Matthiaus
Didier Deschamps
Frank Rijkaard
Gilberto Silva
Na wengineo wa kariba hiyo. Sasa ninapoona akina Sergio Busquet ndio namba moja nabaki kushangaa!
Amesema "all the time" na sio "for this time" kuna tofauti hapo mkuu!!For this time yule mmakonde ng'olo kante yupo vizuri aisee
Basi tuseme na pique ni beki bora zaidi duniani, na haijawahi tokea beki bora kama yeye toka mpira uanze..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hoja zote ninazo anakila kombe na hajawahi kupigwa benchi na yeyote
Alonso ni 6...Nani kakuambia kwamba Xabi Alonso ni namba 6?
Uyu fala ana team y taifa kwa sasa ananambRadja naingollan
Uyo silva wa kawaidah sanaWewe ndo shabiki halisi Wa mpira achana na huyo mbangaizaji.
Ngoja nikwambie mdogo wangu gerard, hata mjomba pirlo wameishawahi kutumika kama namba 6..Mechi ipi aliyocheza namba 6?
Wataje hao vilaza wako nione
Iyo nimesema mm, huyo jombaa achana naeAmesema "all the time" na sio "for this time" kuna tofauti hapo mkuu!!
Swadakta kabisa hujakosea maana makombe ndyo yanatuonyesha status ya mtuBasi tuseme na pique ni beki bora zaidi duniani, na haijawahi tokea beki bora kama yeye toka mpira uanze..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama hicho ndio kigezo chako.
Yeah! Wanasoka wenzangu nipo hapa kutoa List fupi wa viungo wa kukaba bora wa mda wote kwa upande wangu katika tasnia ya soccer .
1.Sergio Busquets - kwa upande wangu huyu jamaa ni bora kabisa katika viungo wote kutokana na uwezo wake wa kuziba matobo na kupiga killer pass na unyumbulifu wake
2.Gatusso- huyu nampa nafasi ya pili kutokana na ubora wake katika kukaba na roho mbaya ya unyama unyama
3.Claudia Makelele- kijana kutoka ufaransa nae alikuwa ni bora kabisa katika nafasi yake hiyo
4.Ngolo Kante- kijana pia kutoka ufaransa ambaye anakipaji cha hali ya juu katika kusakata kabbu katika hiyo nafasi
5.Cassemiro - a.k.a the Tank ni kipaji kinachochipukia lakini kutokana na ubora wake nampa nafasi ya tank
6.Xavi Alonso mhisipaniola fundi nae ni xavi Alonso anasifika kwa kupiga long passes na kukaba .
Japo heading inasema ni top ten naomba niishie 6 ilikuwapa nafasi na wachangiaji kumalizia hao wa 4 waliobaki
Uliposema Viungo bora wa kukaba wa muda wote nilitegemea nione majina haya kwa haraka sana;
Claude Makelele
Roy Keane
Patrick Vieira
Marcon Sena
Lothar Matthiaus
Didier Deschamps
Frank Rijkaard
Gilberto Silva
Na wengineo wa kariba hiyo. Sasa ninapoona akina Sergio Busquet ndio namba moja nabaki kushangaa!