Viungo bora wakabaji wa muda wote top ten

Viungo bora wakabaji wa muda wote top ten

Uliposema Viungo bora wa kukaba wa muda wote nilitegemea nione majina haya kwa haraka sana;

Claude Makelele
Roy Keane
Patrick Vieira
Marcon Sena
Lothar Matthiaus
Didier Deschamps
Frank Rijkaard
Gilberto Silva

Na wengineo wa kariba hiyo. Sasa ninapoona akina Sergio Busquet ndio namba moja nabaki kushangaa!
Wewe ndo shabiki halisi Wa mpira achana na huyo mbangaizaji.
 
Yeah! Wanasoka wenzangu nipo hapa kutoa List fupi wa viungo wa kukaba bora wa mda wote kwa upande wangu katika tasnia ya soccer .
1.Sergio Busquets - kwa upande wangu huyu jamaa ni bora kabisa katika viungo wote kutokana na uwezo wake wa kuziba matobo na kupiga killer pass na unyumbulifu wake
2.Gatusso- huyu nampa nafasi ya pili kutokana na ubora wake katika kukaba na roho mbaya ya unyama unyama
3.Claudia Makelele- kijana kutoka ufaransa nae alikuwa ni bora kabisa katika nafasi yake hiyo
4.Ngolo Kante- kijana pia kutoka ufaransa ambaye anakipaji cha hali ya juu katika kusakata kabbu katika hiyo nafasi
5.Cassemiro - a.k.a the Tank ni kipaji kinachochipukia lakini kutokana na ubora wake nampa nafasi ya tank
6.Xavi Alonso mhisipaniola fundi nae ni xavi Alonso anasifika kwa kupiga long passes na kukaba .


Japo heading inasema ni top ten naomba niishie 6 ilikuwapa nafasi na wachangiaji kumalizia hao wa 4 waliobaki
Wewe mpira huujui, Sergio awe kiungo bora mkabaji mbona kichekesho hiki. Kwenye orodha eti kuna Kante na kina Casemiro, kituko hiki sasa.
 
1. Claud makelele. 2. Emerson. 3. Allesio Tarchnadi. 5. Kante Ngolo. 5. Marco Senna.
 
Uliposema Viungo bora wa kukaba wa muda wote nilitegemea nione majina haya kwa haraka sana;

Claude Makelele
Roy Keane
Patrick Vieira
Marcon Sena
Lothar Matthiaus
Didier Deschamps
Frank Rijkaard
Gilberto Silva

Na wengineo wa kariba hiyo. Sasa ninapoona akina Sergio Busquet ndio namba moja nabaki kushangaa!
Huyu bwa mdogo soka kaanza juzi.. huoni na kapicha kake kaweka hapo, jina alilochagua tu ni sergio 5 unategemea nini!?
 
Hoja zote ninazo anakila kombe na hajawahi kupigwa benchi na yeyote
Basi tuseme na pique ni beki bora zaidi duniani, na haijawahi tokea beki bora kama yeye toka mpira uanze..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kama hicho ndio kigezo chako.
 
Mechi ipi aliyocheza namba 6?
Ngoja nikwambie mdogo wangu gerard, hata mjomba pirlo wameishawahi kutumika kama namba 6..

Mtu kama gerard kapiga 4,6,8,7 na 10 katika career yake.

Turudi nyuma kidogo hapo kwa mjomba pirlo, niambie kipi busquets kamzidi mjomba pirlo!!?

Kwangu mimi busquet hata mjomba gilbeto da silva hamgusi, itakuwa xabi alonso..

Mtu kama makelele, kiasi namba 6 imeitwa makelele role kweli awe kilaza masihara haya bwa mdogo..

Busquets hana utofauti mkubwa na michael carrick kwenye ubora wake, sema tu nae alizaliwa taifa bovu la soka duniani..
 
Wataje hao vilaza wako nione

Dunga
dunga-1464965432-800.jpg


Diego Simeone
24498-product.jpg


Roberto Di Matteo
roberto-di-matteo-1485934610-800.jpg


César Sampaio
cesar-sampaio-brazil-12-july-1998-h9kbt1.jpg


Stig Tøfting
danish-midfielder-stig-toefting-is-seen-in-action-in-their-group-a-picture-id51527878


Didier Deschamps
DeschampsFra.jpg


Patrick Vieira
008376B500000258-0-image-a-15_1431712246163.jpg


Roy Kean
147222.jpg


Clarence Seedorf
740full-clarence-seedorf.jpg


Phillip Cocu
phillip-cocu-holland-25-june-1998-H9KBG1.jpg


Jens Jeremies
jens-jeremies-germany-munich-1860-04-july-1998-h9kbt9.jpg

Dietmar Hamann
361534.jpg


Dragan Stojković
2137911-dragan_stojkovi_.jpg


Carlos Valderrama
Valderrama-74240.jpg


Paul Ince
sport-football-pic-circa-1993-paul-ince-manchester-united-paul-ince-picture-id78953579


Paul Scholes
paul_scholes_pass.jpg


josé maría gutiérrez
83803629-jose-maria-gutierrez-of-real-madrid-runs-with-gettyimages.jpg


EDGER DAVIS
Edgar+Davids+Barnet+v+Northampton+Town+npower+wRXC4rKXlDal.jpg
 
Nimewaza tu haraka haraka listi kukosa
1. Stefan Effenberg 'the tiger',
2. Roy Keane,
3. Lothar Matheus
4. Philip Cocu
5. Sunday Oliseh
6. Patrick Viera
7. Claude Makelele
8. Dunga
9. Didier Deschamps
10. Diego Simeone
11. Graeme Souness
12. Edgar Davids
13. Frank Rijkaard

Kwa kukosa hao tu nawaza ipo siku tutatajiwa listi ya attacking midfilders bila Michael Laudrup hapa na kina Mesut Ozil wakawekwa.
 
Huyu bwa mdogo soka kaanza juzi.. huoni na kapicha kake kaweka hapo, jina alilochagua tu ni sergio 5 unategemea nini!?
Amefanya nafasi ya ukabaji ionekane ni rahisi kuicheza
 
Basi tuseme na pique ni beki bora zaidi duniani, na haijawahi tokea beki bora kama yeye toka mpira uanze..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kama hicho ndio kigezo chako.
Swadakta kabisa hujakosea maana makombe ndyo yanatuonyesha status ya mtu
 
Yeah! Wanasoka wenzangu nipo hapa kutoa List fupi wa viungo wa kukaba bora wa mda wote kwa upande wangu katika tasnia ya soccer .
1.Sergio Busquets - kwa upande wangu huyu jamaa ni bora kabisa katika viungo wote kutokana na uwezo wake wa kuziba matobo na kupiga killer pass na unyumbulifu wake
2.Gatusso- huyu nampa nafasi ya pili kutokana na ubora wake katika kukaba na roho mbaya ya unyama unyama
3.Claudia Makelele- kijana kutoka ufaransa nae alikuwa ni bora kabisa katika nafasi yake hiyo
4.Ngolo Kante- kijana pia kutoka ufaransa ambaye anakipaji cha hali ya juu katika kusakata kabbu katika hiyo nafasi
5.Cassemiro - a.k.a the Tank ni kipaji kinachochipukia lakini kutokana na ubora wake nampa nafasi ya tank
6.Xavi Alonso mhisipaniola fundi nae ni xavi Alonso anasifika kwa kupiga long passes na kukaba .


Japo heading inasema ni top ten naomba niishie 6 ilikuwapa nafasi na wachangiaji kumalizia hao wa 4 waliobaki
Uliposema Viungo bora wa kukaba wa muda wote nilitegemea nione majina haya kwa haraka sana;

Claude Makelele
Roy Keane
Patrick Vieira
Marcon Sena
Lothar Matthiaus
Didier Deschamps
Frank Rijkaard
Gilberto Silva

Na wengineo wa kariba hiyo. Sasa ninapoona akina Sergio Busquet ndio namba moja nabaki kushangaa!

Jamani Mbona Edger Davis simuoni kwenye list yenu?
 
Back
Top Bottom