Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana kwangu ule 😋Natamani unipikie mdada
Na yale makamba kamba ya tangawizi unayachemshia huko au unaikamua ili upate maji tustaili yangu hii. hapo ikiiva staki tena kuiunga na manyanya, natafuta tu ugali wa dona. very delicious
Ninapenda tangawizi, mradi tu siweki nyingiiii hadi kukera. So, nikiwa na muda ninachuja, kama sina naponda kwa kijikinu changu kidogodogo ama nakwangua kwa grater natupia kwa chungu changuNa yale makamba kamba ya tangawizi unayachemshia huko au unaikamua ili upate maji tu
Kama huyapendi hayo, andaa tangawizi yako uikatekate au iponde kwenye kinu kiasi then blend.Na yale makamba kamba ya tangawizi unayachemshia huko au unaikamua ili upate maji tu
😘😘😘Kama huyapendi hayo, andaa tangawizi yako uikatekate au iponde kwenye kinu kiasi then blend.
Saga kitunguu na nyanya kwa pamoja then kaangaa vikiiva weka soya sauce changanya then paka kuku, nyama, samaki ikiwa mwishoni kuiva wakati wa kuchoma au weka soya sauce kwenye makange bila mchuzi.Jamani
Soy sauce imenishinda
Sijui Ndo ushamba
Tumia slow cooker weka kitunguu swaumu na tangawizi weka kwenye slow cooker nyama inakolea viungo na kuwa tamu na kama huna slow cooker unaweza kutumia chupa ya chai zile za chuma weka huko nyama kama masaa sita au usiku kucha nyama inakolea viungo inakuwa tamu hata usipounga.Nawasilimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Naomba kujuzwa unapotaka kupika nyama yako (mfano; ya ng'ombe au Kuku) ni viungo vipi ukichanganya wakati wa kuchemsha nyama hiyo itaifanya kuwa yenye ladha na laini?
Asante.
unatumia brand gani?Saga kitunguu na nyanya kwa pamoja then kaangaa vikiiva weka soya sauce changanya then paka kuku, nyama, samaki ikiwa mwishoni kuiva wakati wa kuchoma au weka soya sauce kwenye makange bila mchuzi.
ooh this oneTumia slow cooker weka kitunguu swaumu na tangawizi weka kwenye slow cooker nyama inakolea viungo na kuwa tamu na kama huna slow cooker unaweza kutumia chupa ya chai zile za chuma weka huko nyama kama masaa sita au usiku kucha nyama inakolea viungo inakuwa tamu hata usipounga.
kwangulia kwenye kiparuzio cha carrot pale padogoNa yale makamba kamba ya tangawizi unayachemshia huko au unaikamua ili upate maji tu
Ndimu ya kichina....Ajinamoto?
.
.
hii ni nini?
Ideal for Chinese and Japanese.unatumia brand gani?
au zote ni sawa tu?
Basi watengeneza viungo vikavu watutengenezee huo unga wa papai na nanasi.Saga papai na nanasi Changanya na nyama yako itaanza kukatika katika hata kabla haujaichoma
Vinegar.Samahani siki ndio nini
Hii haichekeshi lakini nimecheka vibaya sanaNa yale makamba kamba ya tangawizi unayachemshia huko au unaikamua ili upate maji tu