Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo nyinyi ndio mliodikia mwai kibaki kafa mkaleta uzushi wenu humu? ujinga mtupu.
nyinyi ndio mliosababisha Tanzania iwe ranked in top 10 poor iq's population.
Hata TBC 1 imetangaza suala hili.
itakuwa bunju ya GAZA,,, watu 100 sio mchezo lazima ingekuwa issue ya kitaifa
Utani wa namna hii ni zaidi ya upumbavu!
Mkuu kwako kuna tv?Kwa taarifa tu ITV wametangaza kama breaking newz,siku nyingine usiwe mbishi kama mshipa!!
Kukaa simanjiro haina maana usiijue bunju.Bunju ni wapi sisi tulioko Simanjiro hatupafahamu
kwahiyo akili zako zinakutuma humu member wote wa jf wapo Tanzania?
mimi niko Pyongyang, North korea, only jf ndio chombo changu cha kupata habari za nyumbani.
Idadi hiyo imeokotwa ktk mifuko ya viroba......ni hali ya kusikitisha kwa kweli miongoni mwao wapo watoto.
========
UPDATE 1:
Kwa mujibu wa Radio One:
Jeshi la Polisi wilaya ya Kinondoni limesema kuwa limekamata viungo mbalimbali vya binadamu vilivyohifadhiwa ktk mifuko ya plastiki ktk machimbo ya kokoto ya Bunju nje kidogo ya jiji la Dsm
kwahiyo akili zako zinakutuma humu member wote wa jf wapo Tanzania?
mimi niko Pyongyang, North korea, only jf ndio chombo changu cha kupata habari za nyumbani.
em itambue na yangu Sumu