Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo


Mkuu nakula bia hapa delighton jirani na kituo cha polisi bunju A na nipo na baadhi ya maafande wa pale....Bunju pako shwari kabisa.....mimi mwenyewe napata news hapa JF
 
Daah sasa hawa wananchi wakimuua huyo dereva tutawajuaje wahusika. Inabidi polisi wafanye kazi yao hadi wahusika kamili wapatikane. Huyo dereva ni mtumwa tu

Wameenda mpaka hiyo nyumba waliyohifadhia hizo maiti, watu wamesepa.
Ila inawezekana zimetoka Hospitali
 
Mkuu nakula bia hapa delighton jirani na kituo cha polisi bunju A na nipo na baadhi ya maafande wa pale....Bunju pako shwari kabisa.....mimi mwenyewe napata news hapa JF

Mie nikitoka hisaje niende bunju na mabwepande nika confirm hii habari.
 
Mkuu nakula bia hapa delighton jirani na kituo cha polisi bunju A na nipo na baadhi ya maafande wa pale....Bunju pako shwari kabisa.....mimi mwenyewe napata news hapa JF

He he hapo harufu si inafika? Mie niko Ruvuma Bar nawasubiri madogo wanashangaa shangaa
 
Kukaa simanjiro haina maana usiijue bunju.

Mi mbona nakaa Simanjiro na hadi Magwepande napafahamu ingawa sijang'olewa kucha.
usilete Ubishi sema tu Bunju iko Dar, kwani wewe unajua Matejoo, Madizini, Kitwiru, Busweru, Isevya au Mwakibete ziko wapi?
 
ustake kunambia umeunga dots ndo hao viungo vyao vimekutwa bunju
 
Du its very sad!!! Usalama wa Taifa, polisi amkeni jamani acheni kuliwazwa na nyimbo za Amani na hello hello Tanzania. :A S-eek::A S-eek:
uhafadhi wa maiti katika mifuko namna hii inaonesha wazi its a plaaned execution::::
 
jamani mm ninazo picha hapa nimetumiwa plz nipo nakisimu Ku upload ni shida kidogo mwenye namba ya anistue nimtumie namba yangu ni 0717 228064
ili aziupload hapa jamvini zinatisha nakusikitisha nimeshindwa kuamini kama bongo tumefikia unyama huu
 
Itakuwa ni wale wanaouawa kwenye msitu wa Pande na Rama Ighondu wa TISS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…