MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
lawmaina78 nadhani umepata jibu
Yaani wewe umeridhishwa na hilo jibu, dah kweli hatari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lawmaina78 nadhani umepata jibu
hospital ya palestina hiyo....
unaenda kutupa huko mbele ya safari uendako
kutupa hiyo kitu sinasikia inaliwa ??
inavitamini sana na huwa inampa sana mwanamke nguvu akiila pindi anapotoka kujifungua??
cc#mzizi mkavu hembu njoo huku bana uwaelimishe hawa wanatupa madini
lawmaina78 hili swala tayari lipo mikononi mwa polisi kwa uchunguzi zaidi.though i doubt if they will come with something different since the police boss had told the press that the dumped humun parts came from a medical college known as IMTU (International Medical and Technological
University).
Kuna 'standard disposal procedures' ambazo zinatakiwa kufuatwa pahali popotepale iwe hospitali, viwandani hata majumbani.
Kwa taasisi kubwa kama haspitali au vyuo hizo 'procedures' zipo kwa maandishi na zimesainiwa kuwa muhusika atazifuata na pia zipo sheria za adhabu iwapohazikufuatwa.
Wananchi tungependa kuwekewa wazi masuala haya ya kisheria!!
Yaani wewe umeridhishwa na hilo jibu, dah kweli hatari.
truth guy una hasira kweli na watu wa pwani. Kumbuka biashara ya utumwa ilifanywa sana maeneo haya ya pwani. Watu wenye nasaba zenye nguvu walichukuliwa utumwani na dhaifu ndo waliachwa. Watu wa pwani ya bahari Hindi waliopo ni nasaba dhaifu walioachwa wakati wa utumwa.Watu wa pwani huwa hamna akili kabisa,kazi umbea,majungu,kushinda mnacheza bao kuanzia asubuhi hadi jioni,wavivu,mna ndoto za kifala sana za kuzamia meli na kula unga,hata tukiwapa nchi mnachemka tu nyambaf.
Hofu ya nini sasa? Huoni kama inakuwa useful?
Huwa wanatumia vi parts tu au mwili mzima?
Kule India wanashangaa sana mgonjwa wa kisukari kukatwa miguu wakati kuna tiba lakini ukienda hospitali za Tanzania,ukisema unaumwa kisukari uwezekano wa kukatwa mguu ni mkubwa.Rafiki yangu alikatwa miguu yote miwili.
Tukio la juzi la vile viungo vya binadamu vilivyotoka chuo cha udaktari IMTU na kutupwa kandokando ya mto Mpiji,limenishitua sana.Inawezekana madaktari wanafanya biashara, ndio maana watu wanakatwa sana miguu kwa tatizo la kisukari.
Ushauri wangu: Mgonjwa wa kisukari ukiambiwa mguu wako ukatwe ili kunusuru maisha yako,tafadhali hakikisha unarudi na mguu wako nyumbani ukauzike mwenyewe.Usipofanya hivyo mguu wako utafanyika mdoli kwa wanafunzi wa udaktari.
So stupid and utter nonsense, hapa Interahamwe inakujakuja vipi?Tatito la propaganda zilizofanywa na RPF mpaka wakaonekana kama kilikuwa kikundi cha kigaidi kama Boko Haram ama Alishababu.Kumbuka Interahamwe lilikuwa tu jina la kuhamasisha maana hakukuwa na jinsi maana walikuwa wanapambana na wavamizi.Sasa tell me wewe hapa Interahamwe limekujakuja vipi kwenye hii issue ya watu waliokufa Dar na kupakiwa kwenye mifuko ya plastic nayo ndiyo Interahamwe
I thought you real but after I saw your Avata .....I will ignore you meat head.
I thought you real but after I saw your Avata .....I will ignore you meat head.