Viungo vya mwili kufa ganzi: Elewa Chanzo, Tiba na mambo muhimu ya kuzingatia

Viungo vya mwili kufa ganzi: Elewa Chanzo, Tiba na mambo muhimu ya kuzingatia

za muda huuu, mimi tatizo langu la utofauti kidogo siyo ganzi mkono wangu wa kushoto unauma na unakosa nguvukuanzia shingoni hadi kwenye bega la kushoto pamnauma na nakosa nguvu

1. Nilienda hospital wakapima sukari na wingi wa damu vyote vipo sawa wakashauri ninywe maji lakini wapi.

2. Nikatumia dawa za kuchua na massage hali bado ni ileile tu.
Msaada mwenye uzoefu wa hili wa kuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa napata tatizo la mkono kupata ganzi na hivyo kufanya vidole kukakamaa endapo nikiwa nimelala kiubavu na kulalia mkono ukiwa umejikunja au nikiwa nimelala na mwanamke na kumruhusu anilalie mkono au kulalia kifua.

Je hii ni hali ya kawaida au ni kiashirio cha tatizo fulani kiafya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie Nina umwa na kifua na misuli naomba ushauri wadau
Chemsha Tangawizi chukuwa kipande 1 kisafishe vizuri kwa maji kiponde ponde kiwe laini weka katika moto kisha weka maji kikombe 1 na nusu weka jikoni kipate kuchemka kwa dakika 10 moto uwe wa kawaida kisha opowa upate kunywa iwe ya moto tumia asaubuhi mchana na usiku kila siku kwa muda wa siku 3 au siku 5 au siku 7 umepona kama utakuwa na Asali safi ya nuki tia kijiko 1 kisha koroga upate kunywa .tumia njia hiyo utapona maradhi yako.
 
Naomba kujua chanzo cha kutetemeka miguu bila sababu na miguu kufa ganzi
Na dawa yake
Kutetemeka Miguu au Mikono kunaonyesha dalili ya wewe kupatwa na maradhi ya kutetemeka mwili aka kwa jina la kiingereza ugonjwa huo unaitwa (Parkinson Disease) nenda haraka Hospitali kapime Figo na ini na pia ukapime Wadudu wanao sababisha Ugonjwa waVidonda vya tumbo kwa jina wanaitwa Helicobacter pylori (H. pylori) pia wanasababisha pia kutetemeka miguu na mikono na kama unakunywa pombe pia acha kabisa. Na Miguu kufa Ganzi tiba pia ninayo. Ukihitaji Matibabu toka kwangu nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole Mkuu.

what cause foot tremors?
In many cases, the underlying condition is not serious. However, leg shaking can be a symptom of some very serious medical conditions if accompanied by other symptoms. These include Parkinson's disease, neuropathy, and anxiety. Delaying treatment allows the problem to get worse
 
Heshima zenu waungwana wa JF.

Natumaini wote ni wazima..Leo nimekuja na swali kidogo kwa wenye ujuzi nalo mimi nimekuwa nikikutwa na tatzo la ganzi mkono wa kulia kila nikitoka kulala pale ninapoamka mkono unakuwa umekufa ganzi alafu unauma yani unakuwa mzito sielewi tatizo ni nini wana JF najua ni wajuzi naomba msaada
 
Waungwana, Salamu!

Kuna rafiki yangu wa karibu anasumbuliwa na ganzi mwilini hasa mikononi ni Kali. Siku za nyuma alipata lower back pain, akatibiwa, akajiona kupona. Hivi karibuni akifanya mazoezi, akashtua LBP akapatwa na ganzi Kali mwili mzima, miguu na kiuno kuwa dhaifu! Katumia sawa; ganzi imepungua kiasi. Lakini mikononi - viganjani - ni Kali na miguu na kiuno bado si imara.

Dawa ipi ya ganzi - ya Asili au ya kisayansi (hospitali) - anaweza kutumia au afanye nini kwa ganzi, miguu na kiuno? Tunaomba ushauri wenu.
 
Waungwana, Salamu!

Kuna rafiki yangu wa karibu anasumbuliwa na ganzi mwilini hasa mikononi ni Kali. Siku za nyuma alipata lower back pain, akatibiwa, akajiona kupona. Hivi karibuni akifanya mazoezi, akashtua LBP akapatwa na ganzi Kali mwili mzima, miguu na kiuno kuwa dhaifu! Katumia sawa; ganzi imepungua kiasi. Lakini mikononi - viganjani - ni Kali na miguu na kiuno bado si imara.

Dawa ipi ya ganzi - ya Asili au ya kisayansi (hospitali) - anaweza kutumia au afanye nini kwa ganzi, miguu na kiuno? Tunaomba ushauri wenu.
Dawa ya asili ya ganzi ninayo nitafute kwa wakati wako ili nipate kumtibia mgonjwa wako aweze kupona maradhi yake.
 
Dawa ya asili ya ganzi ninayo nitafute kwa wakati wako ili nipate kumtibia mgonjwa wako aweze kupona maradhi yake.
Mm nasumbuliwa sana n ganzi,hasa kwenye nyayo na kupelekea kushindwa kutembea vizuru mguu wa kushoto na kukosa nguvu kabisa 0715 378899 au 0687 558785 kama hamtojari namba zangu hizo
 
Jaman naomba mnisaidie sijui Nina shida gan maana naisi kucha zangu zina ganzi sanah Tena zimekuwa ngumu nmekata zote Ile nkijaribu kujikwanguh naisi maumivu makalio shida nin?
 
Back
Top Bottom