Viungo vya mwili kufa ganzi: Elewa Chanzo, Tiba na mambo muhimu ya kuzingatia

Viungo vya mwili kufa ganzi: Elewa Chanzo, Tiba na mambo muhimu ya kuzingatia

Akhsante mkuu, nitakaribia nitakutaarifu
Pole Sana unaonaje ukafika kituoni kwetu tupo Dar mnazi mmoja,jibu la changamoto yako lipo,ila Ni vema ufanyiwe check up,tubain chanzo chake ndipo uanze TIBA ndugu,kwa Sasa tuna ofa ya vipimo vya mwili mzima kwa TSH 15,000. Karibu uhudumiwe call 0718069047 utapokelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani kiasi Cha kula yaani Kama ni kilo ngapi zinahitajika?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kitu cha kwanza, ni kweli hujala nyama muda mrefu?

Maana mimi nimetumia hii kiuzoefu, kuna kipindi niliwahi kukutwa na hii issue nikaambiwa nimekosa ingredients ambazo zinapatikana kwenye kula nyama.

Nilivyoanza kula tatizo likaisha, ni kiasi cha kawaida tu, siyo hata kilo ngapi.

Jipe labda kila siku unapiga supu asubuhi, mwezi tu utakuwa okay.

Note: Inategemea na tatizo lenyewe, zaidi nenda hospitali.
 
Back
Top Bottom