Viupele hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno, ni ugonjwa gani?

Evelyn Salt njoo utoe ushauri, mambo Kwa ushahidi huku🤣
Sasa mgonjwa si hata angeisimamisha ndo apige picha jamani, ni nini lakini????


Hivyo vipele mi najua ni vile tunaitaga vya homa, huwa vinatokea pia mtu akiwa na stress...ila aende hospital akapate uhakika.


Apitie na hii link anaweza pata chochote
 
We unadhani mgonjwa nguvu ya kusimamisha anaitoa wapi kwa mfano🤣🤣🤣🤣
Ashauriwe jamani🤣🤣🤣
 
Jambo usilolijua ni kuwa mgonjwa akiumwa ni ngumu kusimamisha na isitoshe ugonjwa upo sehemu nyeti 🤗
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…